Piga namba zilizopo kwenye tangazo hilo pengine utajibiwa swali lako.Kwahiyo bro kwenye hili swala langu litagharimu kiasi gani? Na maelewano yanakuwaje?
Piga namba zilizopo kwenye tangazo pengine utajibiwa swali lako.
nawachukia Sana wapenda pesa..ukinisaidia research ya under graduate je utanisaidia huko mbeleni?Kwa hili unatakiwa uwe mwangalifu sana-upate mtu wa kukuongoza na sio mtu wa kukufanyia hiyo project. All the best. Mchango wa kilambimkwidu uzingatie.