Lovinho
Member
- Jul 1, 2018
- 7
- 18
Mkuu Sect 11-19 si zinazungumzia Deductions au hyo Act ya mwaka gani..?? Mi nadhani akisoma Section 7 ya Income Tax Act 2004 Revised Edition 2008 ndio ataelewa zaidi kuhusu mada yake hyo, maana kila kitu kimeelezwa vizuri kabisa.Soma Income Tax Act S.12 (1-5)
Hapa utapata majibu
Sent using Jamii Forums mobile app