Matola nisaidie namna ya kusign up kwenye skype natumia galaxy s11 plus
Mi naomba kuele kuelekezwa nikitaka kuclick km mtu kalike pcha nying ili kumshukuru?
Bado cjapata jibu yan nataka nijue namna ya kukusanya pcha zote ambazo mtu kalike .nafanyaje app?
Kuzunguka kote huko kumbe una lako.
Basi kazi.
Mi naomba kuele kuelekezwa nikitaka kuclick km mtu kalike pcha nying ili kumshukuru?
nadhani ni fuata nyuki upate manundu!fata nyuki ule asali.....
Hyo screenshot inakuaje? Mi mgen apo
niliwahi soma review moja ktk mitandao ilikuwa inasema twitter is more like of a mac os.not user freindly and it's for elite social media users.nilipofungua a/c yangu kwa mara ya kwanza nikagundua ni kweli..ule mtandao ni mgumu kuutumia.inabidi uwe kichwa kidogo kuutumia vile inavyo takiwa.ndo mana vichwa vya panzi huwakuti kule.chunguza mkuu.
Natumia samsung