Wataalamu naomba ufafanuzi kwenye hili tukio

Jan 24, 2023
56
36
Salaamu wana Jf baada ya kuonana na madaktari katika zahanati mbili tofauti za serikali yalinipata yafuatayo:

Kwa ufupi niliingia zahanati ya kwanza saa moja asubuhi hadi saa nane mchana hapo nikaingia kwa daktari kwa masikitiko makubwa zahanati ya jimbo nikaandikiwa kipimo cha mkojo kikakosekana nikiwa nimeambatana na mtoto wangu wa kiume ambaye yeye ndio alokuwa mgojwa baada kukosa hicho kipimo na muda mwingi umeenda nikaambiwa kapime nje tuletee majibu kwa hasira nikamwambia mtoto tusirudi pale tukawa tumeondoka tukafika zahanati nyengine sasa ni saa nane na nusu hapa tukaonana tena na daktari akatushauri tukapime vipomo viwili hapa chap chap tukalipa pesa za vipimo tukapata majibu yetu tukaingia tena kwa dk.

Akaandika dawa nyengine tukapata kwenye dirisha la dawa nyengine tukaenda kununua tukarudi nyumbani
kilichotokea baada ya kumeza dawa huyu mtoto akaanza kuvimba mwili wote hadi ndani ya kinywa na ulimi nikachanganyikiwa nikarudi zahanati nyengine ya karibu saa tatu usiku apate angalau fast aid akatibiwa nikalipa tukatoka na kurudi nyumbani lakini bado hadi asubuhi mtoto macho yanawasha pia yamevimba naomba ushauri pia dawa alizotumia ni hizo mnazoziona hapo je nini shida?

Naomba kuwasilisha wakuu.

WP_20230331_11_51_23_Pro.jpg
 

Attachments

  • WP_20230331_22_38_34_Pro.jpg
    WP_20230331_22_38_34_Pro.jpg
    346.1 KB · Views: 4
  • WP_20230331_22_41_24_Pro.jpg
    WP_20230331_22_41_24_Pro.jpg
    764.7 KB · Views: 3
OYA MPELEKE MTOTO HOSP HARAKA, ACHANA NA ZAHANATI .

Uliandikiwa dawa gan hapo zahanati ya pili?

Wamekupa Dawa gan hiyo zahanati ya mwisho?

Allergic Reaction baada ya Dawa Mara nyingi Inaweza kua serious kiasi Cha kusababisha Anaphylaxis shock, hii ni severe and life threatening condition tena Kwa watoto Huwa wanaondoka Ndani ya muda mfupi.

Acha Mara Moja kuendelea na dawa hizo walizompa zahanati ya pili alipopimwa.

Mtoto anatakiwa apewe antihistamine haraka mfano Piriton au promethazine au Loratadine pia apate na corticosteroids kama vile Prednisone, hydrocortisone na pia ikiwezekana achomwe na Epinephrine kutegemea na hali atakayokua nayo.

Kuvimba ulimi hhilo ni moja , na linaloweza mfanya mtoto ashindwe kupumua vizuri kushuka Kwa msukumo wa Damu, nakupelekea Moyo kupata Shida, lkn wengine mpaka wanababuka miili yao !.

Tafadhali sana na ninakuomba sana Mkuu , mbebe mtoto muda Huu Mpeleke Hosp ili apate huduma nyinginezo.
 
salaamu wana Jf baada ya kuonana na madaktari katika zahanati mbili tofauti za serikali yalinipata yafuatayo:
kwa ufupi niliingia zahanati ...
Mkuu hizo zilizoandikwa cotrimoxazole ni septrin na zinakuwa na (sulphur) mtoto wako atakuwa na alagi ya sulphur.

Its very serious allergic reaction.
Hiyo zahanati uliorudi walipaswa kulifahamu hilo.

Alagi ya salfa wengine huwasababishia michubuko hadi sehemu za siri.

Nakushauri umrejeshe mtoto hospitalini kwa uangalizi zaid.
 
Naona kapata allergic reaction... Kwa ninachokiona ni hizo CTX (Co-trimoxazole) ambapo ni ishu sulphur compounds....

Sijajua kwanin alimpatia huo mchanganyiko wa hizo Azithromycin na CTX....

Tafuta antihistamines au corticosteroid aitumie..

Cha kushauri stopisha CTX

Imebidi niitizame upya na nikaamua kuedit maelezo mengine hapa chini


Sijajua Hao waliompa matibabu walitaka kutibu nini ila nimesikitika mnoo

Hivi Diagnosis ni nini hapo?

Maana naona Rx

Amoxicillin, Azithromycin, CTX na Ibuprofen

Sad... Huko govt kuna nini?

Halafu ni mtoto.... Hii ni hatari Sana hii.....

Mrudishe hospital akafanye vipimo upya plus management inayoeleeka


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaamu wana Jf baada ya kuonana na madaktari katika zahanati mbili tofauti za serikali yalinipata yafuatayo:

Kwa ufupi niliingia zahanati ya kwanza saa moja asubuhi hadi saa nane mchana hapo nikaingia kwa daktari kwa masikitiko makubwa zahanati ya jimbo nikaandikiwa kipimo cha mkojo kikakosekana nikiwa nimeambatana na mtoto wangu wa kiume ambaye yeye ndio alokuwa mgojwa baada kukosa hicho kipimo na muda mwingi umeenda nikaambiwa kapime nje tuletee majibu kwa hasira nikamwambia mtoto tusirudi pale tukawa tumeondoka tukafika zahanati nyengine sasa ni saa nane na nusu hapa tukaonana tena na daktari akatushauri tukapime vipomo viwili hapa chap chap tukalipa pesa za vipimo tukapata majibu yetu tukaingia tena kwa dk.

Akaandika dawa nyengine tukapata kwenye dirisha la dawa nyengine tukaenda kununua tukarudi nyumbani
kilichotokea baada ya kumeza dawa huyu mtoto akaanza kuvimba mwili wote hadi ndani ya kinywa na ulimi nikachanganyikiwa nikarudi zahanati nyengine ya karibu saa tatu usiku apate angalau fast aid akatibiwa nikalipa tukatoka na kurudi nyumbani lakini bado hadi asubuhi mtoto macho yanawasha pia yamevimba naomba ushauri pia dawa alizotumia ni hizo mnazoziona hapo je nini shida?

Naomba kuwasilisha wakuu.

View attachment 2572381
Moderators badilisheni hiyo headline wataalamu waje hapa. La sivyo hapati msaada konki
 
OYA MPELEKE MTOTO HOSP HARAKA, ACHANA NA ZAHANATI .

Uliandikiwa dawa gan hapo zahanati ya pili?

Wamekupa Dawa gan hiyo zahanati ya mwisho?

Allergic Reaction baada ya Dawa Mara nyingi Inaweza kua serious kiasi Cha kusababisha Anaphylaxis shock, hii ni severe and life threatening condition tena Kwa watoto Huwa wanaondoka Ndani ya muda mfupi.

Acha Mara Moja kuendelea na dawa hizo walizompa zahanati ya pili alipopimwa.

Mtoto anatakiwa apewe antihistamine haraka mfano Piriton au promethazine au Loratadine pia apate na corticosteroids kama vile Prednisone, hydrocortisone na pia ikiwezekana achomwe na Epinephrine kutegemea na hali atakayokua nayo.

Kuvimba ulimi hhilo ni moja , na linaloweza mfanya mtoto ashindwe kupumua vizuri kushuka Kwa msukumo wa Damu, nakupelekea Moyo kupata Shida, lkn wengine mpaka wanababuka miili yao !.

Tafadhali sana na ninakuomba sana Mkuu , mbebe mtoto muda Huu Mpeleke Hosp ili apate huduma nyinginezo.

Samahani Kwa kuchelewa kuuona Uzi wako.
ubarikiwe sana mkuu nitafata ushauri wako.
 
Naona kapata allergic reaction... Kwa ninachokiona ni hizo CTX (Co-trimoxazole) ambapo ni ishu sulphur compounds....

Sijajua kwanin alimpatia huo mchanganyiko wa hizo Azithromycin na CTX....

Tafuta antihistamines au corticosteroid aitumie..

Cha kushauri stopisha CTX

Imebidi niitizame upya na nikaamua kuedit maelezo mengine hapa chini


Sijajua Hao waliompa matibabu walitaka kutibu nini ila nimesikitika mnoo

Hivi Diagnosis ni nini hapo?

Maana naona Rx

Amoxicillin, Azithromycin, CTX na Ibuprofen

Sad... Huko govt kuna nini?

Halafu ni mtoto.... Hii ni hatari Sana hii.....

Mrudishe hospital akafanye vipimo upya plus management inayoeleeka


Sent using Jamii Forums mobile app
nimeweka hapo taarifa zake nime adit huo uzi kwa picha
 
Hizo dawa zitakuwa na surpher, na mtoto Ana allergy nazo.

Hospital za bongo bado tuko nyuma sana,mtu kabla hajapewa dawa ilitakiwa ajulikane health background yake kwanza
sio bongo tu ni tatizo la nchi yetu kwa jumla ndiyo kukawa na safari za matibabu Nje ya nchi.
 
nimeweka hapo taarifa zake nime adit huo uzi kwa picha
Naona wamemchoma corticosteroid (hydrocortisone) lakini wakairudisha CTX kazini ambayo ina suphur pia...


Kabla hujatoka hapo muulize mtoa huduma je, hivyo vidonge alivyopatiwa havina sulphur?

Kila tunapopatiwa huduma tuwe tuna tabia ya kuhoji hasa baada ya matibabu....
Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimeweka hapo taarifa zake nime adit huo uzi kwa picha
Sikiliza Mkuu.

Dawa zinajulikana Kwa majina, sio Kwa kupiga picha dawa kuonyesha rangi yake .

Ukishindwa kuandika majina .

Basi weka hapa prescription kama ilivyo .


Nilipenda ueleze.

Alipoenda Zahati ya pili nakupimwa, alipewa Dawa A B C D .


Nilipompeleka Zahati ya Tatu, alipewa Dawa ,A B C .


Tusifanye mambo Kwa mazoea, naamini wee ni Baba wa Kisasa, msomi ndio maana unaingia JF Mkuu !!.
 
OYA MPELEKE MTOTO HOSP HARAKA, ACHANA NA ZAHANATI .

Uliandikiwa dawa gan hapo zahanati ya pili?

Wamekupa Dawa gan hiyo zahanati ya mwisho?

Allergic Reaction baada ya Dawa Mara nyingi Inaweza kua serious kiasi Cha kusababisha Anaphylaxis shock, hii ni severe and life threatening condition tena Kwa watoto Huwa wanaondoka Ndani ya muda mfupi.

Acha Mara Moja kuendelea na dawa hizo walizompa zahanati ya pili alipopimwa.

Mtoto anatakiwa apewe antihistamine haraka mfano Piriton au promethazine au Loratadine pia apate na corticosteroids kama vile Prednisone, hydrocortisone na pia ikiwezekana achomwe na Epinephrine kutegemea na hali atakayokua nayo.

Kuvimba ulimi hhilo ni moja , na linaloweza mfanya mtoto ashindwe kupumua vizuri kushuka Kwa msukumo wa Damu, nakupelekea Moyo kupata Shida, lkn wengine mpaka wanababuka miili yao !.

Tafadhali sana na ninakuomba sana Mkuu , mbebe mtoto muda Huu Mpeleke Hosp ili apate huduma nyinginezo.

Samahani Kwa kuchelewa kuuona Uzi wako.
shukrani kwako ubarikiwe
 
Sikiliza Mkuu.

Dawa zinajulikana Kwa majina, sio Kwa kupiga picha dawa kuonyesha rangi yake .

Ukishindwa kuandika majina .

Basi weka hapa prescription kama ilivyo .


Nilipenda ueleze.

Alipoenda Zahati ya pili nakupimwa, alipewa Dawa A B C D .


Nilipompeleka Zahati ya Tatu, alipewa Dawa ,A B C .


Tusifanye mambo Kwa mazoea, naamini wee ni Baba wa Kisasa, msomi ndio maana unaingia JF Mkuu !!.
nimeweka picha ya vyeti vya daktari hapo
 
sio bongo tu ni tatizo la nchi yetu kwa jumla ndiyo kukawa na safari za matibabu Nje ya nchi.
Inshu ya mwanao ni inshu ndogo ila Hatari kama akikoswa huduma.

Nchi yetu Bado haijafika hatua kama za huko Ulaya .


Wizara ya Afya inajitahidi sana kuhakikisha hata Ngazi ya Zahanati kunakuwepo na wahudumu, jambo la Msingi kuendelea kutoa Mafunzo Kwa wahudumu Hawa, na pia kuhakikisha Kwa level zao bado tunazalisha watu Makini zaidi ili wawe na Weledi mkubwa zaidi...na hapa Wizara ya Afya na Wizara ya Elimu vinawajibika .

Hawa wahudumu wanafanya kazi kubwa sana hasa maeneo ya vijijin huko Ndani ndani.

Hivo ni kosa kubwa kuwadharau au kuwabeza!!.
 
Back
Top Bottom