Wataalam wa dawa aina ya PREGNACARE nisaidieni katika hili

naan ngik-kundie

JF-Expert Member
Jun 5, 2014
1,766
2,431
Jaman kuna dawa zina madini ya Folic acid ni maalumu kwa ajili ya mama mjamzito na bei yake hipo juu sana, lkn juzi nilinunua dawa hizi lkn wife akanambia zinautofauti na zile nilinunua mara ya kwanza sasa nisaidieni na nimeweka picha za box zote mbili nisaidie je hizi dawa zipo pia ambazo ni feki?
Ili kujikinga nazo kwa ajili ya madhara ya baadae.
Ahsante.
ImageUploadedByJamiiForums1464719105.011050.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1464719177.970383.jpg
 
Dawa haiwezi uzwa bila kupitiwa na TFDA na wizara ya afya lakin dawa hizo ni muhimu sana kwa mama mjamziti kwan husaidia kupunguza uwwzekano wa kupata magonjwa yanayosabibasha kutoimalika vizurbkqa mfumo wa ubongo pengine mama akikosa follic acid anaweza zaaa mtoto mwenye NEURATUBE DEFECTS...wakat mwingine mtoto kuzaliwa ubongo nje au uti wa mgongo ukiwa wazi...kwa hiyo hizo dawa ni muhimu sana wakat wa ujauzito tafadhali mama asipuuzie ....ila kuhusu originality or fackness of drugs can not be veeified through your naked eyes....ndo mana wapo watu maalumu wa wizara ya afya ambao ndo wanaratibu dawa zote kabla hazijaingia sokoni au madukani...
 
Dawa haiwezi uzwa bila kupitiwa na TFDA na wizara ya afya lakin dawa hizo ni muhimu sana kwa mama mjamziti kwan husaidia kupunguza uwwzekano wa kupata magonjwa yanayosabibasha kutoimalika vizurbkqa mfumo wa ubongo pengine mama akikosa follic acid anaweza zaaa mtoto mwenye NEURATUBE DEFECTS...wakat mwingine mtoto kuzaliwa ubongo nje au uti wa mgongo ukiwa wazi...kwa hiyo hizo dawa ni muhimu sana wakat wa ujauzito tafadhali mama asipuuzie ....ila kuhusu originality or fackness of drugs can not be veeified through your naked eyes....ndo mana wapo watu maalumu wa wizara ya afya ambao ndo wanaratibu dawa zote kabla hazijaingia sokoni au madukani...

Sawa ndg Asante kwa ushauri mzuri, Najua pia macho hayapimi lkn pia sipaswi kuamini kila ninachokiona, waswas wangu ni hizi dawa nilinunua mara ya pili yani ni nyepesi sana na box zake pia kwa nyuma zina utofauti kidogo, si unajua tena mkuu inchi yetu hii shamba la bibi TFDA wakija kukagua wauzaji wanaficha baadhi ya dawa zisikaguliwe! Kwahiyo mtumiaji pia unapaswa kua makini tusiwaachie tu TFDA na kuamini kuwa dawa zote zinakaguliwa.
 
Sawa ndg Asante kwa ushauri mzuri, Najua pia macho hayapimi lkn pia sipaswi kuamini kila ninachokiona, waswas wangu ni hizi dawa nilinunua mara ya pili yani ni nyepesi sana na box zake pia kwa nyuma zina utofauti kidogo, si unajua tena mkuu inchi yetu hii shamba la bibi TFDA wakija kukagua wauzaji wanaficha baadhi ya dawa zisikaguliwe! Kwahiyo mtumiaji pia unapaswa kua makini tusiwaachie tu TFDA na kuamini kuwa dawa zote zinakaguliwa.
Ujue nin mkuu...dawa haitengenezwi na kampuni moja bali ni kampuni nyingi ndo mana kuna kitu kinaitwa Trade name ,yan trade name n jina la kibiashara lakin dawa inajina jingine ndo mana ukiangalia dawa za malaria kama Malafin za Kenya yan zipo tofaut kabsa na Tz lakin boks zinataka kufanana kabsa ...so utofaut ni kidgo sana kulingana na kampuni ilipotengenezwa...
 
Ujue nin mkuu...dawa haitengenezwi na kampuni moja bali ni kampuni nyingi ndo mana kuna kitu kinaitwa Trade name ,yan trade name n jina la kibiashara lakin dawa inajina jingine ndo mana ukiangalia dawa za malaria kama Malafin za Kenya yan zipo tofaut kabsa na Tz lakin boks zinataka kufanana kabsa ...so utofaut ni kidgo sana kulingana na kampuni ilipotengenezwa...

Sawa mkuu kwahiyo unanishaurije, nimwambie wife aendelee kuzitumia tu?
 
Mnaweza pi mkatumia prenatals....

Msisahau na calcium na omega 3...ila kwa ushauri wa dr plz
 
Mnaweza pi mkatumia prenatals....

Msisahau na calcium na omega 3...ila kwa ushauri wa dr plz

Ok sawa mkuu lkn Mimi wife alianza na hizi PREGNACARE wacha aendelee na hizi maana pia zina calcium, japokuwa hizo prenatals sijawahi ziona.
 
Back
Top Bottom