rreporter2010
Member
- Nov 7, 2010
- 34
- 1
Lugha ya kiswahili ilianza takriban miaka 800-1000 iliyopita,Kiswahili ni sarufi na msamiati wa Kibantu pamoja na maneno mengi ya Kiarabu. zaidi ya theluthi moja ya maneno ya Kiswahili yana asili ya Kiarabu.kuna maneno machache ya kiajemi,kihindi ,kireno na kingereza.
waswahili bado tumetawaliwa na Waarabu kupitia kwenye lugha.Tanzania ,Kiswahili ni lugha ya Taifa.mfano wa maneno ya kiarabu tunayoyatumia ni suku-soko,dukan-dukani,shai-chai,bahri-bahari,samaku-samaki,rejea-rejea,daftar-daftari,asbuh-asubuhi,........
maneno ni mengi siwezi kuyataja yote hapa.
NINI KITATOKEA ENDAPO WAARABU WATAKAA NA KUTUOMBA TUSITUMIE MANENO YAO ?,KISWAHILI KITAKUFA?.
waswahili bado tumetawaliwa na Waarabu kupitia kwenye lugha.Tanzania ,Kiswahili ni lugha ya Taifa.mfano wa maneno ya kiarabu tunayoyatumia ni suku-soko,dukan-dukani,shai-chai,bahri-bahari,samaku-samaki,rejea-rejea,daftar-daftari,asbuh-asubuhi,........
maneno ni mengi siwezi kuyataja yote hapa.
NINI KITATOKEA ENDAPO WAARABU WATAKAA NA KUTUOMBA TUSITUMIE MANENO YAO ?,KISWAHILI KITAKUFA?.