Wasukuma na utamaduni wa kutakasa mapacha

Wasukuma na utamaduni wa kutakasa mapacha

Ndugu ukitaka kudadisi sana utajikuta kuwa wasukuma halisi ni wale wa mwambao wa ziwa pekee(mwanza), wengine ni kopi na hybrid za wasukuma na makabila mengine baki kabisa.
Asante sana kaka kwa hilo
 
Sijakosea swali,
Sukuma maana yake kaskazini mwa tabora.

Wasukuma ni watu wa kaskazini wanaoongea lugha sawa na watu wa tabora. Eneo lote kaskazini mwa tabora wanaoongea lugha sawa na watu wa tabora ni wasukuma.

Umeelewa?
 
Sukuma maana yake kaskazini mwa tabora.

Wasukuma ni watu wa kaskazini wanaoongea lugha sawa na watu wa tabora. Eneo lote kaskazini mwa tabora wanaoongea lugha sawa na watu wa tabora ni wasukuma.

Umeelewa?
Nimeelewa vizuri sana ndugu yangu na nalijua hilo, swali langu lilikuwa linalenga ni kwa nini wa Sukuma wote wa kanda ya ziwa wanajulikana kama Wasukuma, lakini waNtunzu ndio wanajinasibisha kwa jina hili la Wanyantuzu? Kwa nini wasukuma wa maeneo mengine hawajinasibishi na jina zaidi ya Wasukuma?

Nini maananya Ntuzu?
Cc: Annael
 
Nimeelewa vizuri sana ndugu yangu na nalijua hilo, swali langu lilikuwa linalenga ni kwa nini wa Sukuma wote wa kanda ya ziwa wanajulikana kama Wasukuma, lakini waNtunzu ndio wanajinasibisha kwa jina hili la Wanyantuzu? Kwa nini wasukuma wa maeneo mengine hawajinasibishi na jina zaidi ya Wasukuma?

Nini maananya Ntuzu?
Cc: Annael
Ntuzu ni eneo. Wameitwa wanyatuzu kwa sababu wametokea eneo hilo.
Halafu katika sukuma empire hawa watu wa ntuzu walikuwa wakiwa na vita vya mara kwa mara na wamasai.

Isitoshe watu wa ntuzu walikuwa na uwezo mkubwa wa kufanya biashara. Vilevile watu wa kutoka ntuzu wanapenda matani sana na kuzoeana na mtu kwa haraka.
Kwa hiyo inakuwa fahari kusema mimi nimetokea ntuzu kutokana na sifa walizonazo.

Sukuma empire ilikuwa na kigdom nyingi moja wapo hiyo ya tunzu. Lengo la sukuma empire ni kupinga utawala wa mirambo uliokuwa unatumiwa na waarabu.
 
Ntuzu ni eneo. Wameitwa wanyatuzu kwa sababu wametokea eneo hilo.
Halafu katika sukuma empire hawa watu wa ntuzu walikuwa wakiwa na vita vya mara kwa mara na wamasai.

Isitoshe watu wa ntuzu walikuwa na uwezo mkubwa wa kufanya biashara. Vilevile watu wa kutoka ntuzu wanapenda matani sana na kuzoeana na mtu kwa haraka.
Kwa hiyo inakuwa fahari kusema mimi nimetokea ntuzu kutokana na sifa walizonazo.

Sukuma empire ilikuwa na kigdom nyingi moja wapo hiyo ya tunzu. Lengo la sukuma empire ni kupinga utawala wa mirambo uliokuwa unatumiwa na waarabu.

Una uelewa mpana sana na Kabila hili la Wasukuma, wanyaNtuzu wana uhusiano wowote na Wanyiramba?
 
Hii ni kweli kabsa mkuu

Mie nimekulia Usukumani na hicho kipo, hiyo mila inaitwa, " Ukango" au ngoma ya ukango

Ngoma hii huchezwa kama watazaliwa Mapacha( kurwa na doto) au Kashinje (mtoto aliyetanguliza miguu)

Kwa miaka ya karibuni imepungua sana ila ipo maeneo ya vijijin na ngoma hii hichezwa kuna members maalumu wanaitwa "Bhakango " na kuna manju maalumu au kiongoz wa wtu wanaoifauata mila hii

Ngoma ya ukango inachezwaje?

Pindi mama anapojifungua mapacha au Kashinje basi yeye na mmewe wananyolewa vipara halaf wanapewa vibuyu viwili kama ni Kashinje ni kimoja theni vinapakwa mafuta na kuvishwa shanga,

Kumbuka wakati ngoma hii inachezwa nyimbo zinazoimbwa ni za matusi tu ndio hutawala na kama sio mdau huruhusiwi kabisa kusogea!!

Wakati wakicheza ngoma hii wazazi wa watoto Mapacha huwa wako uchi na wamenyolewa vipara na kuvishwa shanga,

Ngoma hiyo huanzia nyumban na kuelekea mtoni au sehemu yoyote yenye bwawa la maji kwa ajili ya kuoga, ambako wote huoga hadharani huku nyimbo zikiimbwa

Note: nyimbo zinazoimbwa ni matusi yaani yale ya nguoni kabisa, although utamaduni huu umefifia sana kama sio kuisha kabsa kutokana na kustaarabika Ukristo kuingia kama unafanyika ni kwa siri sana.
Pia hata mtoto akianza kuota meno ya juu kuna mila anayofanyiwa

Naomba niishie hapa kwa anayejua zaidi anaweza Ongeza
 
Una uelewa mpana sana na Kabila hili la Wasukuma, wanyaNtuzu wana uhusiano wowote na Wanyiramba?
Hakuna uhusiano wowote wa wanyatuzu na wanyiramba.
Nimeshakieleza wanyantuzu wapo kwenye sukuma empire. Na ndani ya sukuma empire kindom moja wapo ilikuwa inaitwa ntuzu. Na kiongozi wa kingdom alikuwa anaitwa mtemi.

Baadhi ya kingdoms za sukuma empire ni:
1. Ntuzu
2. Busiya
3. Nindo
4. Salawe
5. Msalala
6. Itilima
7. Busambilo
8. Buhungukila
9. Bulima
10. Bukoli
N.k
Iramba haimo kwenye sukuma empire.
 
Wasukuma wa kukulia Dar na ughaibuni hatujui haya mambo. Asanteni kwa darasa.

Hapo jiongelee mwenyewe, kwamba labda ndo hujui.

Lakini usijumuishe na wengine tunaojua kwa sababu kujua si lazima uwe umekulia Usukumani.

Kuna wengine hapa bado mizizi yetu ni mirefu sana huko Usukumani na kila mwaka huwa tunaenda na wakati mwingine tunaenda hata mara mbili au tatu. Juzi tu hapa nimetoka kusafisha kaburi la mzee pamoja na la mama yake [bibi yangu] na la baba yake [babu yangu].

Tupo ambao tunao mapacha kwenye koo zetu, tena kwa pande zote mbili.

Na wengine tupo ambao ni Wasukuma kurudi nyuma vizazi vitatu.

Babu yangu mzaa mama ana miaka 95. Anajua mengi mno kuhusu mila na tamaduni za Kisukuma. Naweza kabisa kusema yeye ni mamlaka ikija kwenye mambo mengi ya Kisukuma.

Huwa napenda sana kuongea naye kuhusu mambo ya zamani. Hili linalosemwa hapa halipo, kwa maana ya kwamba ni ada. Kama lipo, basi lipo kwa watu au familia chache hapa na pale, hususan kwa watu wanaoendekeza imani mbovumbovu.

Mmoja wa wanae na babu yangu, mama yangu mdogo, ana mapacha na maisha yake yote kaishi Usukumani.

Hakuna hata siku moja hao Kulwa na Doto wake walifanyiwa hayo mambo.

Wasukuma ni kabila kubwa linalokalia eneo kubwa sana na ndo maana hadi kuna lahaja ndani ya lugha yake.

Kwetu Ntuzu sijawahi kuona wala kusikia huu upuuzi unaoongelewa hapa.
 
Mimi ni Msukuma 110% na sijawahi kamwe kuusikia huo utamaduni.

Ni wa Wasukuma wa wapi labda?

Upo muda sana huo utamaduni me nimezaliwa nimeukuta ma-bhasana.... Wanafanyia sherehe watoto mapacha.... Shinyanga hata mwanza wapo pia
 
Hapo jiongelee mwenyewe, kwamba labda ndo hujui.

Lakini usijumuishe na wengine tunaojua kwa sababu kujua si lazima uwe umekulia Usukumani.

Kuna wengine hapa bado mizizi yetu ni mirefu sana huko Usukumani na kila mwaka huwa tunaenda na wakati mwingine tunaenda hata mara mbili au tatu. Juzi tu hapa nimetoka kusafisha kaburi la mzee pamoja na la mama yake [bibi yangu] na la baba yake [babu yangu].

Tupo ambao tunao mapacha kwenye koo zetu, tena kwa pande zote mbili.

Na wengine tupo ambao ni Wasukuma kurudi nyuma vizazi vitatu.

Babu yangu mzaa mama ana miaka 95. Anajua mengi mno kuhusu mila na tamaduni za Kisukuma. Naweza kabisa kusema yeye ni mamlaka ikija kwenye mambo mengi ya Kisukuma.

Huwa napenda sana kuongea naye kuhusu mambo ya zamani. Hili linalosemwa hapa halipo, kwa maana ya kwamba ni ada. Kama lipo, basi lipo kwa watu au familia chache hapa na pale, hususan kwa watu wanaoendekeza imani mbovumbovu.

Mmoja wa wanae na babu yangu, mama yangu mdogo, ana mapacha na maisha yake yote kaishi Usukumani.

Hakuna hata siku moja hao Kulwa na Doto wake walifanyiwa hayo mambo.

Wasukuma ni kabila kubwa linalokalia eneo kubwa sana na ndo maana hadi kuna lahaja ndani ya lugha yake.

Kwetu Ntuzu sijawahi kuona wala kusikia huu upuuzi unaoongelewa hapa.

Masimbwe lugunga msalala hao watu wapo na mitaa ya huko... Kahama shinyanga and the like ... Lakin wanakuwa kama chama fulani hv.... Wanafanya misherehe hao.... Sisi kwetu hatuhusiki nao kabisa.... Japo mapacha wapo... So concept n kuwa hii issue haihusish watu wote wa usukumani .... Ni kama kakikundi fulan ka watu wanaoamin hvyo..... BBC wamemislead
 
Naona BBC wanashida na watu wa huko maana walianza na mauji ya vikongwe, wakaja ndoa za utotoni na sasa hivi wamekuja na hii ya watoto mapacha!
Sasa BBC wana shida na watu wa huko au watu wa huko ndio wana shida? Kwani yote hayo yanayosemwa ni uongo?
 
Kilichopo ni nini? Kwamba watoto mapacha ni laana?



Hiyo laana BBC wameongeza... Sherehe hufanyika kama kumpongeza mzaz for having that blessing.... Watu hao n kama chama fulani .... Bbc wamefanganya kuinclude wasukuma wote..... Japo bikindi hvyo vipo... But haviserve hiyo purpose waliyoisema bbc... The groups are more ceremonial na sio utambikaji au utoaji laana...
 
Masimbwe lugunga msalala hao watu wapo na mitaa ya huko... Kahama shinyanga and the like ... Lakin wanakuwa kama chama fulani hv.... Wanafanya misherehe hao.... Sisi kwetu hatuhusiki nao kabisa.... Japo mapacha wapo... So concept n kuwa hii issue haihusish watu wote wa usukumani .... Ni kama kakikundi fulan ka watu wanaoamin hvyo..... BBC wamemislead

Ewaaa...hapo nakubali kabisa.

Wasukuma ni kabila kubwa mno na linakalia eneo kubwa.

Kuwepo kwa watu kama hao sishangai lakini uwepo wao na hayo matendo yao si utamaduni wa Kisukuma.

Hakuna 'utamaduni wa Kisukuma' kwa sababu Wasukuma hawana utamaduni mmoja tu.
 
Hapo jiongelee mwenyewe, kwamba labda ndo hujui.

Lakini usijumuishe na wengine tunaojua kwa sababu kujua si lazima uwe umekulia Usukumani.

Kuna wengine hapa bado mizizi yetu ni mirefu sana huko Usukumani na kila mwaka huwa tunaenda na wakati mwingine tunaenda hata mara mbili au tatu. Juzi tu hapa nimetoka kusafisha kaburi la mzee pamoja na la mama yake [bibi yangu] na la baba yake [babu yangu].

Tupo ambao tunao mapacha kwenye koo zetu, tena kwa pande zote mbili.

Na wengine tupo ambao ni Wasukuma kurudi nyuma vizazi vitatu.

Babu yangu mzaa mama ana miaka 95. Anajua mengi mno kuhusu mila na tamaduni za Kisukuma. Naweza kabisa kusema yeye ni mamlaka ikija kwenye mambo mengi ya Kisukuma.

Huwa napenda sana kuongea naye kuhusu mambo ya zamani. Hili linalosemwa hapa halipo, kwa maana ya kwamba ni ada. Kama lipo, basi lipo kwa watu au familia chache hapa na pale, hususan kwa watu wanaoendekeza imani mbovumbovu.

Mmoja wa wanae na babu yangu, mama yangu mdogo, ana mapacha na maisha yake yote kaishi Usukumani.

Hakuna hata siku moja hao Kulwa na Doto wake walifanyiwa hayo mambo.

Wasukuma ni kabila kubwa linalokalia eneo kubwa sana na ndo maana hadi kuna lahaja ndani ya lugha yake.

Kwetu Ntuzu sijawahi kuona wala kusikia huu upuuzi unaoongelewa hapa.
Hivi vikabila kabila umuhimu wake kwa kiasi kikubwa umekwisha kama alivyojisemea Nyerere.

Labda kwenye habari za kutambika huko ambako sipo.

Kuna sehemu ya utamaduni and all that, nayo to a large extent inakuwa overrated.

Kama mtoto ana limited capacityvya kujifunza usawa huu kuanza kujifunza Wasukuma wanaona watoto mapacha mkosi au kujifunza computer programming computer programming inaweza kuwa na maana zaidi.
 
Ewaaa...hapo nakubali kabisa.

Wasukuma ni kabila kubwa mno na linakalia eneo kubwa.

Kuwepo kwa watu kama hao sishangai lakini uwepo wao na hayo matendo yao si utamaduni wa Kisukuma.

Hakuna 'utamaduni wa Kisukuma' kwa sababu Wasukuma hawana utamaduni mmoja tu.

Ule sio utamaduni wala.... BBC wamedanganya ... Wale watu wapo kama bikundi vya kusaidiana... Wanaitwa ma-bhasana.... Wanakuwa hivi... Once a member is blessed with twins... Wanaenda kufanya sherehe kwake kwa kumpongeZa.... Sasa usukuman huwez fanya sherehe bila kuchinga ng'ombe.... Bbc wamedanganya ... Hawakufanya utafut au wamekurupuka or else wanavhuki binafsi na sisi taifa teule
 
Back
Top Bottom