Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,757
- 21,990
Acha kudanganya hadharani wasukuma wamegawanyika pande kuu nne ikiwemo hiyo ya huko Ntuzu/kiya, hao ni wasukuma kabisaa,Wanyantuzu sio Wasukuma, ni waamiaji tu na walicopy lugha ya Kisukuma ambayo wanaiongea kwa lafudhi tofauti na kisukuma asilia, pamoja na kukopi lugha pia walikopi baadhi ya mila na zingine waliziacha