Wasukuma, dada zenu wataolewa na nani?

Wasukuma, dada zenu wataolewa na nani?

hivi bado wana tabia yao ya kupenda wanawake weupe?
 
Ngosha umechemsha. Ukisema Mikoa 5, unamaanisha WANYAMWEZI na si WASUKUMA. Sisi ni Wanyamwezi wa DAKAMA na nyie ni WANYAMWEZI wa Sukuma yaani KUSINI NA KASKAZINI.

Ila ukweli unabaki kama ulivyotaka kusema kuwa Wanyamwezi ndiyo kabila kubwa sana Tanzania na kuwa karibu Robo ya Watanzania wote. Ukiangalia kwa Idadi, utaona kweli wengi wameolea huko, ila kwa asilimia, si wengi.
Sijui kama research ya mleta maada imezingatia other important factors km Sukuma is the largest tribe in Tanzania covering almost five regions. Possibility ya wachache ambao kwa factor hiyo ya ukubwa wa kabila ikaonekana ni wengi kumbe wanaweza kuwa sawa tu na wasukuma walioowa walangi
 
Bado tunayo Mkuu, tunasafisha ngozi za Watoto wetu. Ila kwa sasa wengi wanaanza kuhamia nje ya nchi kwa kuoa Waarabu, Wahindi, Wadhungu, Wa-Asia, Walatino nk.
hivi bado wana tabia yao ya kupenda wanawake weupe?
 
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?

Kama wameweza kuzaa nyumbani vasi waume wa kuwaoa wapo Alaf iweje Msomi Azalie Nyumba ... Kweli hawafai kuolewa hao #@Tabia chafu.
 
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?

We ushindwe kabisa, hivi unafahamu shida inayoendelea S/sudan? Ukabila ni mbaya sana, nawapongez waskm kwa kumix damu!
 
Aaa wapi mbona wanaolewaa sanaa tu
Halafu mbona wanaume wengi wanapenda wanawake weupe
We huon wanawake wanavyojichubua kila siku
 
Ngosha umechemsha. Ukisema Mikoa 5, unamaanisha WANYAMWEZI na si WASUKUMA. Sisi ni Wanyamwezi wa DAKAMA na nyie ni WANYAMWEZI wa Sukuma yaani KUSINI NA KASKAZINI.

Ila ukweli unabaki kama ulivyotaka kusema kuwa Wanyamwezi ndiyo kabila kubwa sana Tanzania na kuwa karibu Robo ya Watanzania wote. Ukiangalia kwa Idadi, utaona kweli wengi wameolea huko, ila kwa asilimia, si wengi.

Wanyamwezi???
Mikoa gani hiyo? Maana mie najua wanyamwezi ni wa tabora tu!
 
Zile mahali zao kutajiwa Ng"ombe 70 wataendelea kubaki single mother
 
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?

Tatizo wanawake wa kisukuma hawana ndoa,wanaweza olewa mara tano na kote wanazaa
 
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?

Tuanze na wewe, je umemuoa dada yako? au unamaanisha dada yupi??
 
[h=2]Wasukuma, dada zenu wataolewa na nani?[/h]
Kumbe ni thread ya siku nyingi!

Lakini kwa nini waoe dada zao? Ni kinyume cha sheria za nchi na dini zote.
 
Hakuna Kabila la Wasukuma ndani ya Tabora, Shinyanga na Mwanza. Wote ni Wanyamwezi.

Ila kuna wale wa Sukuma yaani Kaskazini na wale wa Dakama yaani Kusini.

Sukuma na Dakama ni Kaskazini na Kusini kwa Kinyamwezi na siyo kabila. Hapo huelewi nini?

Tabora ipo Kusini na hivyo nikienda Mwanza au Shinyanga wananiita Mdakama na siyo Mnyamwezi.

Wao wakija Shinyanga au Mwanza wanaitwa Wasukuma na siyo Wanyamwezi.

Msiotufahamu mnatutenganisha kama Wasukuma na Wanyamwezi....

Hebu sikiliza wimbo huu wa Wanyantuzu utasikia wanaimba Wadakama ambao ni sisi wa Tabora na siyo Wanyamwezi.

Katika makundi yote, hawa Wanyantuzu wa Bariadi ndiyo wagumu sana kuwaelewa na hasa wakiongea Kinyantuzu.

Ila wakiongea Kisukuma kawaida basi hata sisi Wadakama tunawaelewa vizuri tu. Ni kama Mjamaica wa UK....



Wanyamwezi???
Mikoa gani hiyo? Maana mie najua wanyamwezi ni wa tabora tu!
 
Last edited by a moderator:
Hahaaha Mimi mchumba wangu msukuma anaitwa mwalimu Beatrice
 
Ni kawaida wasukuma kuona zaidi ya mke mmoja! Isikupe wasiwasi
 
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?
navutiwa na wadada weusi wa kisukuma wanene nataman siku moja nipate wangu.
 
Back
Top Bottom