Wasukuma, dada zenu wataolewa na nani?

Wasukuma, dada zenu wataolewa na nani?

Wasukuma wooote na makabila mengine karibuni uchagani. Hatuna shida na mtu ni peace tu yaani. Mtakuja tu mpende msipende
 
Acha uoga ww, siku hizi mbona tunaongaza kwa kupetipeti hata hao kaka zenu wakina ngosha hawaoni ndani
Teh hapana asee, since nipo mdogo niliwazaga siwezi kuolewa na mkuyra, muha na muhaya nashukuru nimewaepuka ha ha ha ha ha samawani lakini
 
Hahaha...Maajabu mengine, Watu wazima wanapangiwa/wanaaswa waoe wapi.

Na sijui kama mtoa mada alifanya utafiti mpaka kufikia hitimisho hili.
 
Huu ni ukweli mtupu, ndoa nyingi siku hizi ni wasukuma/wanyamwezi (wanaume) vs kabila jingine
 
Back
Top Bottom