Wasukuma, dada zenu wataolewa na nani?

Wasukuma, dada zenu wataolewa na nani?

ukioa mwanamke wa kisukuma Jiandae kupewa kesi ya mauaji kwa maana huchelewi kukumkuta kakichomeka kichwa kwenye friza kupata ubaridi kutoka na hili joto
 
Mi warning yang n kwamba wasije wakasabisha stiff competition ya wanawake huko uchagan.
Bcs sis wachaga tunazunguka mjin but macho yote yapo nyumban.
karibun wagen but isiwe mazoe.
 
wasukuma wengi wanachanganyikiwa na ule weupe wa wachagga,
kwani mabinti wa kinyantuzu mbona hata wao weupe wapo,

mi nadhani kile kiswahili cha kichaga ndo kinawazinguwa,
"yesu na maria,Manumbu swiry....q
 
Ulikuwa uko viroba wakat unaandika huu uzi? Kama umewaita dada zao sasa watawaoaje? Au wewe hufanya mapenz na dada zako? Wakula na nyolo nduhu ubebe
Ale na tuja, mleta mada
 
Na pia mtoa mada asisahau wanawake wa makabila mengine wanawasaka sana hao wanaume wa kisukuma , kwa imani kua wanajua kupenda, vifanyio vyao imara, n.k .....
Nereo nsukuma original ni pm,nzogo kwane nabatogwire bakima gete bebe
 
Msukuma kumuoa lazima ujipange na ng'ombe wa kutosha,lkn wachaga mbuzi 2 na mbege unapata mtoto white.Kwanini tusikimbilie huko!?
 
Mnasemaga wanawake wa kichagga hawaolewi sikuhizi... Lakini hapa naona mnalalamika kaka zenu kwenda kuoa Uchaggani.. Ni sawa lakini..
 
Back
Top Bottom