Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?
Wasukuma kama wagogo tu ukioa atakuja baba mkwe, shangazi, mabinamu na wengine kujaa nyumbani kwako.
Habari mleta mada
awali ya yote napenda kukushukuru kwa kuongea tu bila kuangalia uhalisia wa mambo au jambo jenyewe lilivyo uamuzi wa kuoa ni fursa ya muoaji afanye kipi na kipi asifanye kuna watu wanaoa makabila mengine kwa kuangalia walikotoka labda chuoni na hata mashuleni makanisani na makazini na kila mtu anaoa kadili ya anavyojisikia
nahitimisha uchunguzi wako siyo sahihi kabisa kumbuka kuoa mwanamke wa kabila tofauti kuna changamoto mbalimbali na siyo kama wewe unavyochukulia
jipange upya upya tena
We ni -------- kabisa kwa hiyo unataka wakaka wawaoe dada zao?
wasukuma wengi wanachanganyikiwa na ule weupe wa wachagga,
kaka sio wote wenye hizo tabia. mimi ni mchanganyiko wa mgogo na msukuma lakini hizo tabia unazotaja ktk familia yetu hazikuwepo. na vile kuoana mchanganyiko ndo mpango mnatoa watoto bomba balaa.
Wapo mtakaoniita mbaguzi ila ukweli utabaki nyumbani ni nyumbani lazima upapatie kipaumbele. Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wa kisukuma kuoa wanawake wa makabila mengine na kutupilia mbali utamaduni wa kurudi nyumbani kupata mke, wengi wanakimbilia uchagani, kabila lisilokubalika na wazee wengi wa kisukuma, leo nawauliza dada zenu wataolewa na nani kama hamtaki kurudi kuoa nyumbani? Kama ni usomi tu dada wa kisukuma wamepiga shule si mchezo, vijana wenzangu wa kisukuma rudini mkaoe kwenu, dada zenu kwa sasa wamebaki kuzalia nyumbani tu, ni wasimbe kama mnavyojua, nani atawaoa kama mnakimbilia uchagani?
Mtoto wa shangazi yangu kaoa msukuma, nyumba yake ina vyumba vi 3 ila hao ndugu mpaka wengine wanalala sebuleni. Wote ni wa mke. Yaani huwezi amini. Kwanza baba mkwe na mama mkwe walihamia pale siku nyingi, wakaja wadogo zake na mkewe wa 2, kuna watoto wa shangazi yake na mkewe nao wa 2 wapo pale. Pia kuna beki 3 wake wa long time. Nyumba ina watu balaah alafu asilimia kubwa ya waliomuendea pale ni watoto wa kike wenyewe wamejitafutia shughuli wanasuka nywele za majirani baasi. Bro mi huwa ananiambia anajihisi kama anaishi kwa wakwe. Nyumba yake huu mwaka wa 6 lakini hata fence imemshinda. Bado kuna wageni wa kuja na kuondoka wasioisha. SIOI Msukuma hata iweje.
Wasukuma wengi wasomi wake zao ni Wachaga (Rangi Nyeupe)
1: Paul Bomani
2: Andrew Chenge
3. Prof. Costa Mahalu
4.Bob Makani
5
6.
7.
hebu njooo kwangu maana mimi ni msukuma orijino bariadi m'wanawaneMi thread ya uzuri wa wanaume wa kisukuma haikaukagi hapa JF , unadhani demand ya hawa watu itapungua ?
kadri demad itakavyoongezeka , tutajikuta tunalazimika kuwatolea mahari hawa wanaume wa kisukuma, hahahaha....