MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,488
- 20,444
Mwanadada Wastara amethibitisha kuwa yuko kwenye hatua za mwisho mwisho za maandalizi ya harusi yake hapo mwezi wa 11.
Kila la Heri.
Kila la Heri.
Huyu dada ana bahati ya kuolewa kila maraNdoa ni baraka
Kuna kitu atakuwa nacho ambacho wadada wengi hawanaHuyu dada ana bahati ya kuolewa kila mara
Noma sanaKuna kitu atakuwa nacho ambacho wadada wengi hawana
Kipira ndo nini mkuuHalafu kwa kumbukumbu zangu waliopita wote walikua ni wanazi wa "Kipira" huenda labda narudia tena huenda labda..au basi..
Dada wa kinyakyusa we si ushaolewa lakiniWatu na nyota zao za ndoa