Wassira: Urais si mama mkwe

Wassira: Urais si mama mkwe

Imethibitishwa na mh.Wassira mwenyewe kuwa aliwahi kuhama chama chake cha mapinduzi (ccm),kutokana na kutokupitishwa na chama chake kukgombea ubunge.Alihamia NCCR-Mageuzi na kufanikiwa kuwa mbunge.
Sasa mh huyu amekiri kuwa urais sio mama mkwe,hivyo anaweza kugombea kupitia ccm.
Kama hatagombea urais maana yake atagombea ubunge kwa mara nyingine tena.
Kwenye ubunge nako sio kurahisi sana kwa mh.huyu maana mh.Bulaya naye atataka kuthibitisha umwamba wake,umwanamke imara kwa kugombea.
Ikitokea ccm wakamtosa mh.Wassira kwenye ubunge na urais,je,ataachana na siasa au itambidi arudi tena upinzani ili aweze kugombea kama 1995?
Na kama atahamia upinzani,itakuwa chama gani? NCCR tena au CHADEMA ambayo kwa sasa ndio inaguvu za kumfanya kushinda kirahisi?

huyu wassira hana tofauti na malaya
 
Ha ha ha ha ha Nimeipenda hii EVOLUTION OF MAN. Where did something go wrong very terribly? Una maana huyu wa nyuma naye anataka urais? Kwa jamhuri gani ambayo bado primates wana hadhi ya kuongoza?

Usifikirie kwa kutumia 0713.... Aliekuumba we ndo kamuumba yeye
 
Wasira kwenye gazeti hilo hilo kasema kuwa alirudi ccm kwa kuwa biashara yake ya kuuza samaki pale Msasani haikuwa inalipa, hivyo alirudi kwenye siasa za ccm kwani huko ndiko kwenye mshiko/inalipa!!! Huyu ni mchumia tumbo anayetumia siasa kwa manufaa yake!!!

Kaeleza alichokua akifanya akiwa nje ya siasa sijaona alichokosea kwan we ulitaka akuambie alikua anauza viroba?
 
Kuna ile kesi iliyomthibitisha kuwa ni mloa rushwa,inamfanya awe uchi,huwezi kwenda kwa mkweo ukiwa uchi,urais bado ni mama mkwe tu kwa wasira

Kesi ya nyani kapewa tumbiri ulitegemea angeambiwaje Wote watoa rushwa hana CDM rushwa IPO mkono mtupu........
 
Naona vijana mnapata shida sana mkiona jina la Rais wenu mtarajiwa, hakuna namna inabidi muufyate tu, hiyo ni zawadi yetu Watanzania. Goo Wassira Goooo
 
Wassira yuko juu sana juu ya mbingu au juu ya mti

Aliyeko juu ni Mungu pekee, na wanadamu wote ni sawa, alikunyima wewe ndio aliompa yule, Kama ambavyo amekunyima bahati ya kuwa na Mvuto,wala umaarufu wowote,wala hufikiriwi kuwa Rais lakini vyote hivyo akampa Wassira.
 
Back
Top Bottom