Wassira: Urais si mama mkwe

Wassira: Urais si mama mkwe

We tukana shutumu,kaa ukijua Urais ni utendaji kama unadhani ni sura,,,,,,utasubiri sn,Wasiraaaaa Rais wetu 2015!

Nyie washabiki wa Wassira humu ndani bureee kabisa,Hujui hata tofauti ya "nukta" na "mkato".....Au mnatumia simu za Mchina?....Andika vizuri wewe
 
Nyie washabiki wa
Wassira humu ndani bureee kabisa,Hujui hata tofauti ya "nukta" na
"mkato".....Au mnatumia simu za Mchina?....Andika vizuri wewe

Angalia ulivyo andika wewe(kabisa,Haujui)hivi baada ya mkato tunaweka herufi kubwa?angalia hapo kwenye mabano.......wewe ndio bureeee
 
Toka nikiwa darasa la kwanza nilianza kumsikia Wassira,Sitta wote wakiwa na nyadhifa ,ilikuwa ni kipindi cha Nyerere,leo hii nimekua mtu mzima na hata wanangu wamekuwa watu wazima bado hawa wawili tunawasikia baado wanataka ajira ya uana siasa,wenzao wote akina Dr Salim,Warioba,Malechela wameshastaafu siasa na wanafurahia mafao yao,je ni kitu gani kipya watakachokileta kwa miana zaidi ya miaka 40 walio serikalini n katika uongozi hatuoni lolote jipya zaidi ya kujiongezea umilionia,mwingine baada ya kwenda NCCR na ilibidi alambe matapishi yake baada ya njaa kumpigia kambi (kuna wakati kijiwe chake kilikuwa Georges NBC club akibangaiza )leo hii anataka uraisi kisa kesha ona uraisi utamlipa,kama biashara ya samaki ilimshinda ndio ataweza kuongoza nchi?Ama kweli siku hizi uraisi siku hizi Tanzania umekuwa kamani kazi isiyo na hadhi kwani hata akina Tom na Dick nao wanataka kuwa maraisi wa Tanzania,sijui huko ikulu kuna biashara gani,kwani watu wanavyotoana roho kwa uroho wa kwenda Ikulu inabidi tu nishangae
 
CCM nitairejesha kadi yangu
na kumpa mzee Mangula kwani ninwazi ameshindwa kazi ya chama chetu.
Nchi hii imel3ta mauzauza ila si kwa huyu msrma hovyo, mjivuni na mwenye
kujikombakomba hovyo. Musoma kama mnadhani kurejea Ikulu ni mchezo
wahadaeni CCM walete jina la huyu Corrupted politician, Msaga sumu, adui
wa afya ya demokrasia nchini

Kumbe tatizo mnamuogopa!sasa tumewagundua mnataka tuwaletee jina la mzee wa richmond mpete kirahisi ss tume shtuka,Wasira atosha wengine wa nini?
 
Angalia ulivyo andika wewe(kabisa,Haujui)hivi baada ya mkato tunaweka herufi kubwa?angalia hapo kwenye mabano.......wewe ndio bureeee

Buree wewe mshamba unayetumika na Wassira kisa tumbo lako,Naona mmesambazwa mtandaoni kwa malipo ya buku saba,njaa zitawaua,Hakuna Wassira kuwa Rais nyie jidanganyeni...Nani ampe nchi mtu kama Wassira,Tunajua hapo Lumumba vijana umpo kwa ajili ya posho,Bahati mbaya kundi la Wassira ndio masikini wapiga miayo....na visimu vyenu vya mchina
 
Buree wewe mshamba
unayetumika na Wassira kisa tumbo lako,Naona mmesambazwa mtandaoni kwa
malipo ya buku saba,njaa zitawaua,Hakuna Wassira kuwa Rais nyie
jidanganyeni...Nani ampe nchi mtu kama Wassira,Tunajua hapo Lumumba
vijana umpo kwa ajili ya posho,Bahati mbaya kundi la Wassira ndio
masikini wapiga miayo....na visimu vyenu vya mchina

Nashukuru labda nikufahamishe mie sipo kwenye kundi kama ww,kama mtz namkubali huyu mpganaji balaaaaa!matusi punguza jenga hoja.......
 
Nashukuru labda nikufahamishe mie sipo kwenye kundi kama ww,kama mtz namkubali huyu mpganaji balaaaaa!matusi punguza jenga hoja.......

Huwezi kukosa Kundi ndani ya CCM...Vijana wa CCM mnajulikana kwa kuvizia hela Lumumba,Njaa tupu ndio zinawasumbua...mpo tayari kulamba miguu ya watu mshibishe matumbo yenu....
 
''an empty tin makes up the most noise'' Huyu Wassira ni makelele tu kwani ameulizwa na nani alete habari ya Rais ajaye na yeye kuanza kujisifia mda huu? kama shida yake ni urais asijaribu kutupigia kelele hakuna mtanzania asiyemjuwa Steven Wassira, kuendelea kuwemo kwenye BMK kutunga Katiba haram inatosha kutopewa nafasi ya kuwa rais wa Tanzania. Hatutaki porojo zake za mama mkwe
 
Inasikitisha kuona michango wa watu wengi hapa kutokua na hoja za msingi zaidi ya personal attack...vijana ushabiki umewajaa bila kujali hoja za msingi...hivi kweli mnachagua raisi kwa uzuri wa sura??
Hivi mkapa nae alikuwa handsome??
Hebu jengeni hoja za msingi sio ushabiki wa kimakundi....mnachumia matumbo
 
Simply aende Ikulu kwan hataukisema Nooo kuna ndg yako hats mmoja pamoja na we Alisha wahi fika Ikulu??
The best place for him is Igombe, no matter how much effort you make to promote you invest to promote him. Ikulu is holy place for God's sake. Itoshe tu ameweza kufika pale kama mhudumu wa juice kwa UKAWA and above all as tourist attraction.
 
Toka nikiwa darasa la kwanza nilianza kumsikia Wassira,Sitta wote wakiwa na nyadhifa ,ilikuwa ni kipindi cha Nyerere,leo hii nimekua mtu mzima na hata wanangu wamekuwa watu wazima bado hawa wawili tunawasikia baado wanataka ajira ya uana siasa,wenzao wote akina Dr Salim,Warioba,Malechela wameshastaafu siasa na wanafurahia mafao yao,je ni kitu gani kipya watakachokileta kwa miana zaidi ya miaka 40 walio serikalini n katika uongozi hatuoni lolote jipya zaidi ya kujiongezea umilionia,mwingine baada ya kwenda NCCR na ilibidi alambe matapishi yake baada ya njaa kumpigia kambi (kuna wakati kijiwe chake kilikuwa Georges NBC club akibangaiza )leo hii anataka uraisi kisa kesha ona uraisi utamlipa,kama biashara ya samaki ilimshinda ndio ataweza kuongoza nchi?Ama kweli siku hizi uraisi siku hizi Tanzania umekuwa kamani kazi isiyo na hadhi kwani hata akina Tom na Dick nao wanataka kuwa maraisi wa Tanzania,sijui huko ikulu kuna biashara gani,kwani watu wanavyotoana roho kwa uroho wa kwenda Ikulu inabidi tu nishangae
Ha ha ha ha! Georges NBC the home of Dar-es-Salaam conmen. If at all the man went through Georges NBC Bank House is no more a presidential material is a sale-out conman mbobezi.
 
Jitahidi sikuzote kuelewa na si kukosoa,,,,,mie gazeti ninalo na hakurudi kwa sababu hiyo....


Nimeelewa yaliyoandikwa gazetini na ndio maana naweza kuyafafanua na sio kukosoa kama unavyosema wewe. Huyu bwana amesema mwenyewe kuwa alikuwa mchuuzi wa samaki pale Msasani, biashara ambayo amekili haikuwa inalipa na hapo ndipo alipoomba kurudi ccm na kuachana na biasahara ya samaki ambayo ilikuwa haimpi faida!! Sasa kama aliacha biashara ya samaki ambayo ilikuwa hailipi na kuingia siasa za ccm ambazo zilikuwa zinalipa ,kwa wewe utatafsiri vipi? Ni dhahili kuwa mtu rational ataacha biashara isiyomletea faida na kwenda kwenye biashara itakayompa faida!!!!
 
Back
Top Bottom