Wassira: Urais si mama mkwe

Wassira: Urais si mama mkwe

Nimeyasoma maneno ya wasira katika gazeti la Mwananchi akidai urais siyo mama mkwe, nimefikria sana na nikajiona ninayo haki japo kidogo ya kumwambia mzee Wasira kuwa asiufananishe au asiulinganishe hata kidogo urais na ukwe, jibu rahisi Wasra anazeeka vibaya!

Mzee Wasira tambua ukwe kwa mama mkwe wako unakoma pale unapoachana na mwanae, ni rahisi ukamuacha mkwe na kumtafuta mkwe mwingine lakini unapewa nchi kwa kiyapo cha kuilinda katiba, ni dhamana kubwa kuliko soni za mkwe wako. Umeniudhi! binafsi kama kijana niliyekuheshimu japo niliadha kukudharau pale unapojitia pamba masikioni kwa kuunga mkono upuudhi na kuuondoa uzalendo, hakika baba angelikuwepo usingepata nafasi ya kuropoka.

Sifa za kuwa rais wa nchi ni zaidi ukwe, mzee Wasira tambua uwezo wa kuongoza una kikomo na sasa inaonyesha dhahili umegota.
Binafsi kama mwana Mara na mtanzania najua dhamani na heshima ya mkoa wangu kwa Tanzania, MARA imewatoa viongozi makinia na imara kuanzia raisi, wakuu wa majeshi nk.

Baba alisema huwezi kupewa mawazo na mke wako kesho ukayaleta kuwa mawazo ya watanzani, mzee Wasira tunaomba usitualimbie sifa za mkoa wa Mara. Stafu bado ukiwa na sifa zako chache zilizobaki, kwa mambo yako ya kijinga hutakiwi hata kuonekana mwitongo! Umetuudhi sana.



Unatumiaje nukuu za mwalimu kujenga hoja zako! mwl akiwepo uliikimbia CCM leo hii unajigamba kwa maneno ya mwalimu! Au ni mwalimu yupi unayemnukuu! Au ni mwalimu wako wa Ikizu secondari na si mwalimu tunayemfahamu!

Pumbabu we kwanza ondoa neno sir, huna hadhi hip hata hujui kujenga hoja unakurupuka kama umegongewa mkeo. Rudi kasome gazeti usimlishe maneno Hugo mzee
 
Hivi nchi hii imelaaniwa na nani kiasi dha huyu mdudu naye kutamani kutuongoza! Hii ni laana si bure! hajitizami hata kwenye mirrors zote ? kiroho ni jinamizi na kimaumbile ni dubwana lisilofaa hata kitoweo

Daaah unalaana ya kumgonga mama yako c bure adhabu yako nikuliwa unachokalia
 
Ikiwa mtanzania yeyote kajipima akaona anao uwezo wa kutuongoza watanzania,na watanzania pia wakampima Wakaona anaweza kuwaongoza huyo ndo anaye faa kutuongoza, watanzania Wengi sasa wanazungumza habari ya WASIRA kuwa raisi naamini wamefanya upembuzi wa Kina wa sifa zake na wanaamini Ndio m2 sahihi zaidi kuwa raisi wao,na Mimi sina shaka na Hilo.nadhani Nchi inamuhitaji Huyu kiongizi.
 
Hakuna MTU atajamaliza matatizo ya wanadamu

Kama wasira tangu anakatika kwenye kwaya za tanu ana miaka 13 mpaka leo anang'ang'ania kutatua mambo ya nchi,sijui alisahau nini mpaka leo ana miaka 70
 
Ikiwa mtanzania yeyote kajipima akaona anao uwezo wa kutuongoza watanzania,na watanzania pia wakampima Wakaona anaweza kuwaongoza huyo ndo anaye faa kutuongoza, watanzania Wengi sasa wanazungumza habari ya WASIRA kuwa raisi naamini wamefanya upembuzi wa Kina wa sifa zake na wanaamini Ndio m2 sahihi zaidi kuwa raisi wao,na Mimi sina shaka na Hilo.nadhani Nchi inamuhitaji Huyu kiongizi.

Bora huyu mzee aisee kulilo hao wengine
 
Pumbabu we kwanza ondoa neno sir, huna hadhi hip hata hujui kujenga hoja unakurupuka kama umegongewa mkeo. Rudi kasome gazeti usimlishe maneno Hugo mzee

ok nimeweka bwana na nimeondoa neno usilolipenda! hoja kwako ni pale ningesema hongera sanaaa Wasira! sijawahi kufundishwa kutukana ila nimefundishwa kuvumilia!
 
Ikiwa mtanzania yeyote kajipima akaona anao uwezo wa kutuongoza watanzania,na watanzania pia wakampima Wakaona anaweza kuwaongoza huyo ndo anaye faa kutuongoza, watanzania Wengi sasa wanazungumza habari ya WASIRA kuwa raisi naamini wamefanya upembuzi wa Kina wa sifa zake na wanaamini Ndio m2 sahihi zaidi kuwa raisi wao,na Mimi sina shaka na Hilo.nadhani Nchi inamuhitaji Huyu kiongizi.

Sio wengi,ni yeye,mkewe na shamba boy
 
ok nimeweka bwana na nimeondoa neno usilolipenda! hoja kwako ni pale ningesema hongera sanaaa Wasira! sijawahi kufundishwa kutukana ila nimefundishwa kuvumilia!

Basi vyema endelea kuvumilia mpaka atakapokuwa Rais
 
Huna hoja wewe how comes unaandika upuuzi kama huu, ?? we ndo una laana jichunguze vizuri, hapa watu wanajadili hoja sio upuuzi. Kama unatafuta bwana nenda tandale huko..........
 
Huna hoja wewe how comes unaandika upuuzi kama huu, ?? we ndo una laana jichunguze vizuri, hapa watu wanajadili hoja sio upuuzi. Kama unatafuta bwana nenda tandale huko..........

Ha ha ha ndo aliko mumeo nn? Mi nipo na baby wangu hapa bana
 
Alishaprove mara nyingi hana diplomacy huyu

Mbinafsi na asiyejali wala kuheshimu maoni ya wengine...
 
Wasira kwenye gazeti hilo
hilo kasema kuwa alirudi ccm kwa kuwa biashara yake ya kuuza samaki pale
Msasani haikuwa inalipa, hivyo alirudi kwenye siasa za ccm kwani huko
ndiko kwenye mshiko/inalipa!!! Huyu ni mchumia tumbo anayetumia siasa
kwa manufaa yake!!!

Jitahidi sikuzote kuelewa na si kukosoa,,,,,mie gazeti ninalo na hakurudi kwa sababu hiyo....
 
Alishaprove mara nyingi hana diplomacy huyu

Mbinafsi na asiyejali wala kuheshimu maoni ya wengine...

Wengine wepi?? Mungu okoa Tanzania kweli zile zero za kuanzia 2010 zmeshaanza kazi walahi
 
Back
Top Bottom