Wassira: Nitagombea urais 2015

Wassira: Nitagombea urais 2015

Mbunge wa chalinze ndio apewe uprez daaaa
 
Atapigiwa kura na panya road sio watanzania wenye akili timamu
 
Wassira anazo sifa na ni kiongozi aliye tayari kuwatumikia wanyonge, Goo Wassira Gooo!

Hujakosea mkuu sifa anazo akigombea hifadhini atapita bila kupingwa. CCM ni chaka la wezi na wala rushwa na limezungukwa na nyasi kavu (wafuasi wasiojitambua)
 
ama kweli ccm ni chaka la waongo, kigwangalla-kaombwa, makamba-kaombwa, mwigulu-kaombwa, sumaye-kaombwa, pinda-kaombwa na wassira nae kaombwa, ni wananchi wepi hao? mnakera

Nyalandu nae aliombwa,lakini Membe alioteshwa.
 
Mshaanza kutuharibia siku wakati leo jumapili siku ya baraka.

Wewe unasali au unaenda kanisani tu? Kuna mtu wa Ccm anayesali? au mnaenda kunajisi maeneo matakatifu kuhonga viongozi wadini ili wawaunge mkono kwa uovu wenu!
 
Nasubilia kuona Mdahalo kati ya Dr.Slaa na Wassira hapo October mwanzoni.
Viti vitawaka moto.

Ndani ya CCM wengine wote waoga wakimbia midahalo, Mfano kama Lowassa atatoa hoja gani atakapoulizwa kuhusu Rushwa na Ufisadi.

Midahalo itakuwepo.. swali ni Je! watahudhuria?
 
Wajamani watu wrote wanaotaka mabadiliko kwenye taifa hili wasichangie habari ya ccm nani wamchague bali tujikite kuwashauri ukawa namna watakavyo fanya katika kumtea mgombea wa uraisi nakuweka mikakati ya ushindi na jinsi watakavyo ipanga serikali yao.

Mbinu zinakuja baada ya kumsoma adui mkuu
 
KIUFUPI, MH. STEPHENE WASSIRA NI TEGEMEO LA WANYONGE NA WATANZANIA KWA UJUMLA AMBAPO ANAZIJUA SHIDA NA HOMA ZA WATANZANIA.
NI MTATUZI WA MATATIZO NA MIGOGORO PALE INAPOKUWA IMESHINDIKANA.
KIONGOZI HUYU ANASTAHILI KUPEWA NCHI ILI AJE KUTUTATULIA MATATIZO YA UCHUMI, UMASIKINI, ELIMU, AJIRA NA KADHALIKA.
KIMSINGI MH. WASSIRA NI MUADILIFU, MZALENDO, MCHAPAKAZI NA ANAIPENDA NCHI YAKE TANZANIA. ANA UCHUNGU WA NCHI YAKE NA YUPO TAYARI KUIVUSHA KUTOKA KATIKA DIMBWI HILI LA UMASIKINI HADI UTAJIRI.

KILA LA KHERI MH. WASSIRA, WATANZANIA TWAKUITAJI UWE RAIS 2015 ILI UMASIKINI TZ IWE NDO BYE
BYEEEEEEEEE

 
KIUFUPI, MH. STEPHENE WASSIRA NI TEGEMEO LA WANYONGE NA WATANZANIA KWA UJUMLA AMBAPO ANAZIJUA SHIDA NA HOMA ZA WATANZANIA.
NI MTATUZI WA MATATIZO NA MIGOGORO PALE INAPOKUWA IMESHINDIKANA.
KIONGOZI HUYU ANASTAHILI KUPEWA NCHI ILI AJE KUTUTATULIA MATATIZO YA UCHUMI, UMASIKINI, ELIMU, AJIRA NA KADHALIKA.
KIMSINGI MH. WASSIRA NI MUADILIFU, MZALENDO, MCHAPAKAZI NA ANAIPENDA NCHI YAKE TANZANIA. ANA UCHUNGU WA NCHI YAKE NA YUPO TAYARI KUIVUSHA KUTOKA KATIKA DIMBWI HILI LA UMASIKINI HADI UTAJIRI.

KILA LA KHERI MH. WASSIRA, WATANZANIA TWAKUITAJI UWE RAIS 2015 ILI UMASIKINI TZ IWE NDO BYE
BYEEEEEEEEE


View attachment 218268
Anna_Tibaijuka_-_World_Economic_Forum_on_Africa_2010.jpg
 
KIUFUPI, MH. STEPHENE WASSIRA NI TEGEMEO LA WANYONGE NA WATANZANIA KWA UJUMLA AMBAPO ANAZIJUA SHIDA NA HOMA ZA WATANZANIA.
NI MTATUZI WA MATATIZO NA MIGOGORO PALE INAPOKUWA IMESHINDIKANA.
KIONGOZI HUYU ANASTAHILI KUPEWA NCHI ILI AJE KUTUTATULIA MATATIZO YA UCHUMI, UMASIKINI, ELIMU, AJIRA NA KADHALIKA.
KIMSINGI MH. WASSIRA NI MUADILIFU, MZALENDO, MCHAPAKAZI NA ANAIPENDA NCHI YAKE TANZANIA. ANA UCHUNGU WA NCHI YAKE NA YUPO TAYARI KUIVUSHA KUTOKA KATIKA DIMBWI HILI LA UMASIKINI HADI UTAJIRI.

KILA LA KHERI MH. WASSIRA, WATANZANIA TWAKUITAJI UWE RAIS 2015 ILI UMASIKINI TZ IWE NDO BYE
BYEEEEEEEEE


View attachment 218268
 
akili zako zinafanya kazi au unatumia njia nyingine kufikiri?
 
Vijana gani wanaomkubali,?labda wala utumbo wa kuku na miguu yake na chips za kwenye mfuko wa rambo.

swissme.
 
Back
Top Bottom