Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
Nauliza tu mkuu........
Acha kuchezea picha ya Mhe. Rais Mtarajiwa.
Acha kuchezea picha ya Mhe. Rais Mtarajiwa.
Huyu jamaa ana sura ya ajabu sana.....anatisha
Hahahah itabidi ifanyiwe Adobe za kutosha ili ifae kuning'inizwa kwenye maofisi.
acha ujinga wewe ... hapo ulipo unaweza ukatoka ukaenda jikoni au kwenye gari moto ukakuunguza usoni... hebu kuweni wastaarabu kidogo
Mumefanana sura sema wewe unadunda na suruali fupi fupi...