Wassira: CHADEMA kufa ni Ngumu

Wassira: CHADEMA kufa ni Ngumu

dosama

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
912
Reaction score
959
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.

Source Gazeti Jamuhuri
 
Mambo mengine ni magumu kuamin! Hasa ukizingatia wadhifa,sifa na heshima ya mtu katika jamii.
 
Ritz, Simiyu yetu, HAMY-D, bungeni. Nadhani mmepata taarifa kwamba mzee wenu amekiri kwamba haiwezekani kukisambaratisha CHADEMA hivyo tafuteni namna mpya ya kufanya siasa lakini kwa mfumo huu wa siasa zenu uchwara mnakiangamiza Chama Cha Mapinduzi.
 
Last edited by a moderator:
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.

Source Gazeti Jamuhuri

Nidhani atatoa ushauri wa maana kumbe ndo kwanza ana akili za nyikani
 
nitajitolea kuizika itakapokufa rasmi juni 20.2014
 
Kumbe mpo mkiwaza CDM kitakufa, poleni sana na mwendelee ivo ivo mpaka mtakapokufa wenyewe hapo mwaka keshokutwa
 
Job true true Na ile sura jinsi ilivyo jumlisha na umri ndo keshaanza kua Sokwe mzee maskini
 
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.

Source Gazeti Jamuhuri

Hili lizee lisicheze na watu wa Mungu! Litakufa lenyewe kwa maombi ya Watanzania wenye uchungu..afu tulisahau....bora litubu.......SISI TUNAANZA NA MUNGU NA TUNAMALIZA NA MUNGU...kwa hiyo chama chetu hakiwezi kufa!
 
Wameanza kukana kauli zao,bado Jk kauli yake ya kwamba vyama vya upinzani ni vya msimu,sijui ana haha nini!?
 
Back
Top Bottom