Wasomi wetu ni shida!

Wasomi wetu ni shida!

Nipo katika mazingira ambayo huwa naona kazi za hawa vijana wa chuo kikuu cha DSM mara kwa mara. Kiukweli misingi yao ya kielimu ni mibovu. Assinment wanazopewa huwa wanapata shida sana kuzijibu kiufasaha, hasa kiingereza kinapohusika. Kiingereza chao ni kibovu mno. Aghalabu sisi wabongo huwa tunajua zaidi kingereza cha kuandika kuiko cha kuongea, lakini kwa hawa vijana wetu ni tabu tupu. Huwa najiuliza hao walimu wao wanaposoma kazi zao huwa wanakuwa katika hali gani.

NB: Nami pia ni alumni wa UDSM

Mara kwa mara mimi huuliza, hizo shule walienda kusomea ujinga? huwa sipati jibu, lakini naona wewe at least umekuja na jibu linaloyakinisha nnachokiuliza siku zote humu JF.
 
UDPRSA+1.jpg
 
Wengi wanajua kiingereza UDSM ndi wanafeli, sasa sijui shida inakuaga wapi, ni kwamba wanajiamini kupita kiasi au wanadharau. Ishu hapa sio lugha, kwani mtu anaenda kuwa mtangazaji!! Ebo!
 
Wengi wanaojua kiingereza UDSM ndio wanaofeli, sasa sijui shida inakuaga wapi, ni kwamba wanajiamini kupita kiasi au wanadharau. Ishu hapa sio lugha, kwani mtu anaenda kuwa mtangazaji!! Ebo!
 
kuna asilimia kubwa haujasoma udsm, ulitamani kusoma udsm ukanyimwa nafasi na una bifu na udsm. Kwa taarifa yako, ile cream ya juu kwenye matokeo ya form six tz ndio huwa inaenda udsm, huko kwingine utawakuta division kuanzia three na kuendelea. Jiulize why ninyi mnaojifanya kujua kiingereza hamkupata division one form six? Acha kuchukia chuo bora tz bwana.
you said it right huwezi kuwa udsm alumni halafu ukaja na hoja ya kijinga kama hii
 
you said it right huwezi kuwa udsm alumni halafu ukaja na hoja ya kijinga kama hii

hivi na hii 'cream' ya ccm si zao la udsm? tatizo mmebaki kwenye kingereza tu. mbona mada inajieleza? mweleweni mleta mada
 
hivi na hii 'cream' ya ccm si zao la udsm? Tatizo mmebaki kwenye kingereza tu. Mbona mada inajieleza? Mweleweni mleta mada
mleta mada kaja na hoja nyepesi eti kingereza shida kwa udsm alumni je hao hao udsm alumni ndo cream ya taifa academically, hao wengine huko ccm wamekuwa deviant kwa sababu ya socialization process ndani ya ccm.
 
Pigeni maisha bana na ss tusobahatika elimu tufanyeje kumbukeni ninyi ndo mirrors
 
Yes udsm u got materials but u can't present it. Even kiu they are better in this "presenting although they got no materials" Unless u present them in other local languages.
 
UDSM Ni shida.

Si tu kiingereza, kama walikuwa vizuri (ETI DIVISION ONE) kwa nini viGPA vyao viwe vya kulenga kwa manati?????
 
Mkuu kuto kujitambua na kutambua Hali ya Dunia kwa sasa inakwendaje, kuendeza starehe wanapokuwa vyuoni.

Luck of attitude to success also is the reason.

hilo neno "luck" ulitaka kumaanisha "lack" au mimi sijakuelewa hapo!?
 
kuna asilimia kubwa haujasoma UDSM, ulitamani kusoma udsm ukanyimwa nafasi na una bifu na udsm. kwa taarifa yako, ile cream ya juu kwenye matokeo ya form six tz ndio huwa inaenda udsm, huko kwingine utawakuta division kuanzia three na kuendelea. jiulize why ninyi mnaojifanya kujua kiingereza hamkupata division one form six? acha kuchukia chuo bora tz bwana.

Usiwe defensive mkuu. Kutojua kingereza ni janga la kitaifa kama vile wa-tz wengi wasivyojua hisabati/hesabu. Hata kama wanafunzi wa udsm wengi wana division one form six, lakini kiingereza cha kuongea na kuandika ni tatizo kubwa. Na sio wao tu ni vyuo vyote, hata baadhi ya viongozi serikalin kingereza chao cha kuungaunga. Hata walimu huko mashuleni ni shida tupu.
Tunahitaji mbinu mbadala kuboresha ufahamu wa lugha ya kiingereza
 
Usiwe defensive mkuu. Kutojua kingereza ni janga la kitaifa kama vile wa-tz wengi wasivyojua hisabati/hesabu. Hata kama wanafunzi wa udsm wengi wana division one form six, lakini kiingereza cha kuongea na kuandika ni tatizo kubwa. Na sio wao tu ni vyuo vyote, hata baadhi ya viongozi serikalin kingereza chao cha kuungaunga. Hata walimu huko mashuleni ni shida tupu.
Tunahitaji mbinu mbadala kuboresha ufahamu wa lugha ya kiingereza
kama wale wa udsm waliofaulu kuliko wale wa vyuo vingine form six, itakuwaje kwa wale waliokuwa wanawaburuta mkia wakadondokea division three?
 
Nipo katika mazingira ambayo huwa naona kazi za hawa vijana wa chuo kikuu cha DSM mara kwa mara. Kiukweli misingi yao ya kielimu ni mibovu. Assinment wanazopewa huwa wanapata shida sana kuzijibu kiufasaha, hasa kiingereza kinapohusika. Kiingereza chao ni kibovu mno. Aghalabu sisi wabongo huwa tunajua zaidi kingereza cha kuandika kuiko cha kuongea, lakini kwa hawa vijana wetu ni tabu tupu. Huwa najiuliza hao walimu wao wanaposoma kazi zao huwa wanakuwa katika hali gani.

NB: Nami pia ni alumni wa UDSM

Hoja yako ni nini,kiingereza kibovu au kushindwa kujibu walichoulizwa?
 
Usiwe defensive mkuu. Kutojua kingereza ni janga la kitaifa kama vile wa-tz wengi wasivyojua hisabati/hesabu. Hata kama wanafunzi wa udsm wengi wana division one form six, lakini kiingereza cha kuongea na kuandika ni tatizo kubwa. Na sio wao tu ni vyuo vyote, hata baadhi ya viongozi serikalin kingereza chao cha kuungaunga. Hata walimu huko mashuleni ni shida tupu.
Tunahitaji mbinu mbadala kuboresha ufahamu wa lugha ya kiingereza

Bora umekuwa wazi...
 
Back
Top Bottom