oky,naona kma kuna contadiction. jana kulikuwa na kikao,profesa mmoja alikuwa analalamika,vyuo vingi kwa ujumla tanzania assignment zao kuanzia watu wa certificate na bachelor zinafanana,yaani jinsi anavyojibu mtu wa bahelor na wa level ya chini ni approach ile ile.
nazani mtoa maada kasosea weka title,sababu kasema wasomi alafu kabase ud peke yake.vyuo karibu vyote ni yale yale,tatizo kubwa ni msingi tuliotoka nao chini.
mimi kusema ukweli nimetembelea na kukaa na wanafunzi wa vyuo hivi: udsm,mzumbe,udom,cbe,ifm, tia ,matatizo kama haya yapo ,tena kwa vyuo kama Ifm, Tia kuna uhafadhali maana approach wanayotumia waalimu sio kama vyuo vikuu vya umma. vyuo kama mzumbe,uds waalimu wanaasume wanafunzi wapo vizuri tangu secondary na wanafunzi
wengi wanafaulu kwa nguvu zao za kudesa na kukalili kwa sana,hivyo lecturers hufundisha kisela au sometimes akifundisha haangalii kwa ukaribu kama wanafunzi wanaelewa au la,yeye ilimradi kamaliza syllabus. kwa vyuo kama Saut,ifm,tia waalimu wanafundisha kama secondary,wanajitoa sana.
NOTE:Maoni yangu hayajasema chuo chochote specifically.tatizo ni vyuo vyote.