kwanini watu walioelimika wasionyeshe mfano mwema katika tabia wao ndio wamekuwa mstari wa mbele katika kuonyesha ni jinsi gani jamii inaweza kuishi katika uzinzi ulevi na kila aina ya machukizo, je hii inatupa picha gani kwa wasomi wetu? je kuna mapungufu gani kwa wasomi wetu katika kuishi maisha yaliyo safi?