Wasomi wetu na tabia za kuiga

Godwine

JF-Expert Member
Jan 15, 2010
1,371
281
kwanini watu walioelimika wasionyeshe mfano mwema katika tabia wao ndio wamekuwa mstari wa mbele katika kuonyesha ni jinsi gani jamii inaweza kuishi katika uzinzi ulevi na kila aina ya machukizo, je hii inatupa picha gani kwa wasomi wetu? je kuna mapungufu gani kwa wasomi wetu katika kuishi maisha yaliyo safi?
 
kwanini watu walioelimika wasionyeshe mfano mwema katika tabia wao ndio wamekuwa mstari wa mbele katika kuonyesha ni jinsi gani jamii inaweza kuishi katika uzinzi ulevi na kila aina ya machukizo, je hii inatupa picha gani kwa wasomi wetu? je kuna mapungufu gani kwa wasomi wetu katika kuishi maisha yaliyo safi?

mkuu as one of JF member nadhani inabidi ujumbe wako sijauelewa sana kwani hauna justification; kama ni machukizo na ulievi nadhani jamii ina watu wengi sana wa namna hiyo na wengine hawajasoma... na kama ni usomi basi naamini walio na usemayo hawafiki twenty percent

can you please clarify your allegations kwa wasomi wetu ili tuwe fair?

we dare talk openly so please dare to talk openly
 
kusoma si kuelewa, na kuelewa si kusoma,

na kama ingekuwa hivyo? basi mpaka leo kusingekuwa

na wafuasi wa qurani t'ukufu ambao ni wasomi maana

mule namo ni matatizo matupu,

samahani lakini kwa kutolea mfano huo

lakini sina jinsi maana nimeona ni rahisi sana
 
kusoma si kuelewa, na kuelewa si kusoma,

na kama ingekuwa hivyo? basi mpaka leo kusingekuwa

na wafuasi wa qurani t'ukufu ambao ni wasomi maana

mule namo ni matatizo matupu,

samahani lakini kwa kutolea mfano huo

lakini sina jinsi maana nimeona ni rahisi sana
Wasomi ni wale wenye kufungua makanisa na kujiita mitume na manabii kila kukicha, uku wakila lile fungu la kumi toka kwa wsomi wengine.
 
Pia kuna wale wasomi wanaojiita mapadri ambao hawataki kuoa na kazi yao ni kunyemelea wake na watoto wa kike na wa kiume ili kuwafanya vibaya kwa kutumia nafasi zao ndani ya nyumba za ibada.
 
kwanini watu walioelimika wasionyeshe mfano mwema katika tabia wao ndio wamekuwa mstari wa mbele katika kuonyesha ni jinsi gani jamii inaweza kuishi katika uzinzi ulevi na kila aina ya machukizo, je hii inatupa picha gani kwa wasomi wetu? je kuna mapungufu gani kwa wasomi wetu katika kuishi maisha yaliyo safi?

Kuiga ni lazima ndio maana kuna maendeleo,watu huga na kendeleza yale mazuri na mifano hipo kuanzina kina Einteinet al....hiyo ndiyo misingi ya maendeleo,sizungumzii kuinga "upuuzi"
 
Wasomi ni wale wenye kufungua makanisa na kujiita mitume na manabii kila kukicha, uku wakila lile fungu la kumi toka kwa wsomi wengine.
Una pokuwa shule,kuanzia dayone akili yako yote kwenye masomo,hadi unapata kadegree kako, sasa looooh unakuja shituka mambo mengi yamekupita, ngono/ulevi na mengine mengi, kwa ajili hiyo hawa jamaa huvamia hizi fani za watu na kuumbuka.Si unajua tena,hana uzoefu,konyagi mzinga mmoja hoi,haya kwenye ngono mara huyu mara yule,yaaani fujo tu.Hapa siyo wasomi wote ila wale ambao ndio kwanza wamegraduate ndio spidi yao kali maili 1000 kwa dakika.Tuwavumilie wakikua wataacha.
 
pia kuna wale wasomi wanaojiita mapadri ambao hawataki kuoa na kazi yao ni kunyemelea wake na watoto wa kike na wa kiume ili kuwafanya vibaya kwa kutumia nafasi zao ndani ya nyumba za ibada.
sema ujengele sema.
 
Hata sioni hoja ya kujadili hapa. Mtu mmoja kabadili nia ya mtu aliyeanzisha thread hii... Makanisa Vs Misikit.!! Loh!!

Binafsi naamini kwamba tabia chafu/mbaya ya mtu haina uhusiano na kabila lake, dini yake utaifa, elimu yake etc. Kama mtu ni mwizi , mchawi , mlevi au kahaba ni TABIA yake tu.
 
unafahamu jamii nyingi duniani wanategemea kupata mfano mwema kutoka kwa wasomi kwa mfano ukiangalia maisha ya wasomi katika nchi za swiss, china, na cuba
unaona jinsi walivyojengeka kuishi vyema na jamii yao, lakini kwetu wasomi ndio walio katika mstari wa mbele katika uovu , hii sijui inatokana na wao kutopata elimu stahili au mfumo wa elimu yetu, kwa mfano ukiona takwimu zinazoonyesha kuhusu watu waathirika wa ukimwa unakuta wasomi ndio walio katika ngazi ya juu katika kupata ugonjwa huu, pia wasomi wetu wameshindwa kuwa mfano wa jamii yetu, nini tatizo la wasomi wetu?
 
Back
Top Bottom