kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 512
Naona pans tatizo kubwa. Na ndo hao wasomi wanapitisha Kanuni na Sheria za hovyo bungeni. Msomi mzima anajua maana ya Uhuru na Haki, anatia sahihi na kupitisha mambo us hovyo.
Inatuonyesha kwamba tunawasomi wenye njaa sana, hawajali maisha ya watu bali matumbo na familia zao tuu. Hawana uchungu na basic needs za wananchi. Naye anaunga mkono muradi isio na tija kwa wananchi.
Msomi ana nadi flyover za Dar es salaam, wakati jimboni kwake hakuna maji, wala Barbara zinazotumika. Msomi mzima Dr (PhD) holder ana nadi ndege, wakati kwao kuko hovyo. Ndo maana wakipata ubunge, wanaishia mjini Dar es Salaam. Yaani kura apigiwe Sumbawanga au Kasulu makazi Dar es Salaam.
Wasomi wamekua wasaliti wakubwa, wengi wamepewa ukurugenzi kwenye Taasisi za umma, lakini mchango wao ni bure kwa taiga, lakini wapo kichama zaidi. Wapo kwa kufurshisha CCM.
Wasomi wengi VIJANA, wameona AJIRA ni Udiwani, Ubunge wa CCM. Kwa sababu CCM inawalipa vizuri wanasiasa kuliko ukiwa mtumishi Profesa pale Mzumbe, Mlimani au SUA. Its a shame to our nation.
Inatuonyesha kwamba tunawasomi wenye njaa sana, hawajali maisha ya watu bali matumbo na familia zao tuu. Hawana uchungu na basic needs za wananchi. Naye anaunga mkono muradi isio na tija kwa wananchi.
Msomi ana nadi flyover za Dar es salaam, wakati jimboni kwake hakuna maji, wala Barbara zinazotumika. Msomi mzima Dr (PhD) holder ana nadi ndege, wakati kwao kuko hovyo. Ndo maana wakipata ubunge, wanaishia mjini Dar es Salaam. Yaani kura apigiwe Sumbawanga au Kasulu makazi Dar es Salaam.
Wasomi wamekua wasaliti wakubwa, wengi wamepewa ukurugenzi kwenye Taasisi za umma, lakini mchango wao ni bure kwa taiga, lakini wapo kichama zaidi. Wapo kwa kufurshisha CCM.
Wasomi wengi VIJANA, wameona AJIRA ni Udiwani, Ubunge wa CCM. Kwa sababu CCM inawalipa vizuri wanasiasa kuliko ukiwa mtumishi Profesa pale Mzumbe, Mlimani au SUA. Its a shame to our nation.