Wasomi na kiingereza

Unafikiri kwa nini nchi kama Kenya, uganda, Zambia wapo fluent? Kwamba wao wana akili za kujua sana kiingereza kuliko sisi? No, ni kwamba wao tangu shule za awali (elementary school) wanasoma kwa kiingereza. Hivyo wanaizoea lugha at an early age.
Kwahiyo sie tatizo ni kutumia kiswahili kama lugha ya kufundishia?
Nimekuelewa
 
Mkuu huko Uganda na Kenya wanakiongea kiingereza na ndio maana wanakijua na si kwamba wanafundishwa vizuri english drasani,na wakati wewe unasema mfumo wetu wa ufundishaji ndio sio mzuri kuna wengine wanasema mfumo wa ufundishaji kiingereza mashuleni duniani kote sio mzuri.

Na kweli haya matatizo yapo sehemu nyingi tu ambako raia zake hawatumii kiingereza kama lugha ya mawasiliano.
 
Ili tujue uwezo wako katika kiingereza tafsiri hili bandiko lako katika kiingereza, chukua paragraphs ya kwanza na ya 2.
Translation is also a professional like other professionals. There is hearsay that in Tz there are only three people who qualify for the job!!! Mara nyingi nikisoma Magazetini watu hutafsiri kwa kusema " kwa tafsiri yangu" huwa siwaelewi wana maana gani.
Kingereza kipo cha aina nyingi sana, kila wigo una kingereza chake.
Huwa naingia mtandao wa Quora, kuna baadhi ya maoni kuyaelewa inabidi upretend.
 
Siku hizi haki ya nani hata wanaosoma arts bila bila aisee. Asikwambie mtu
 
😆😆 Hao ndio ma boss wenu ?
Kiingereza cha darasani hata mwingereza mwenyewe anajifunza,kiswahili cha darasani pia ni tofauti na cha mtaani,anaweza akawafaulu vizuri mtihani wa kiswahili mtu ambaye sio mswahili lakini akikutanishwa na mswahili kwenue presentation akapigwa bao. So lugha isitumike kumgrade mtu. Tuangalie matumizi ya hiyo lugha pia.
 
Aliekwambia kupata degree kunauhusiano na kuongea kiingereza nani.

Yani wewe unaonekana fala Kweli kisa umeombwa umsaidie mtu kuandika cv unakuja kumtangaza humu. Kwendaa kafie mbele
 

Unapotosha. Hakuna vitu vya namna hiyo.
 
Unapotosha. Hakuna vitu vya namna hiyo.
napotosha kivipi sasa mkuu sema wewe ndio uelewa wako mdogo. Huwezi kunielewa mfano wewe umesoma combination ya HKL na mwingine kasoma PCM. Ni yupi atatoka na skills za kuzungumza na kuandika kiingereza kizuri hapo. Tumia akili acha ushabiki, huyo wa PCM anasoma number tu na kiingereza kwa mbali, na hizo hesabu hazi improve chochote kwenye english yake na wala hazitumiki mtaani. Huyo wa HKL masomo yake yote ni maneno ya kiingereza yaliyojaa na kwenye mitihani yake yote anaandika ma essay tu. Hivyo ni wazi lazima ata improve writing, speaking na listening skills.
 
Hoja yako ina mashiko kwa Tanzania tu! Mbona wenzetu Wakenya na Waganda wote wanajua hiyo sjui Tech na Fluent English? Tukubali elimu yetu ina shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…