Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,295
Mwaka 2008 wasomali (pirates) walivamia meli na kudai walipwe $2m ransom. Sasa mahakama ya ulaya ya haki za binadamu (European court of human rights) imewataka ufaransa wawalipe fidia ya kuwaweka ndani zaidi ya masaa 48 bila kuwapelekea mahakamani.
Wako Tisa na kila mmoja alipwe kama shilingi m20,
Haki za binadamu tuzisikie tu
Wako Tisa na kila mmoja alipwe kama shilingi m20,
Haki za binadamu tuzisikie tu