Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Huyo ni kada mwaminifu na mtiifu wa ccm labda kuliko wote kwa sasa ndani ya ccm. Anasema ccm kumejaa fitina na majungu mengi ili kulinda nafasi za wahusika.
Kama Wasira amekiri huo uchafu ndani ya chama mimi nani nisiamini kuwa ccm haifai kuendelea kushika dola? Watanzania tufanye maamuzi magumu tuiondoshe ccm madarakani mwaka 2025.
Kama Wasira amekiri huo uchafu ndani ya chama mimi nani nisiamini kuwa ccm haifai kuendelea kushika dola? Watanzania tufanye maamuzi magumu tuiondoshe ccm madarakani mwaka 2025.