Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,075
- 71,479
Vijana wenyewe, Nawewe ndio Mmoja wao?. 😂😂Unapozeeka kubali matokeo na kubali kukaa pembeni waachie vijana wasongeshe! Uzee ni Uzee tu hauna jinsi atulie tu kama sisi wazee wenzake!
Vijana wenyewe, Nawewe ndio Mmoja wao?. 😂😂Unapozeeka kubali matokeo na kubali kukaa pembeni waachie vijana wasongeshe! Uzee ni Uzee tu hauna jinsi atulie tu kama sisi wazee wenzake!
😀😀 CHAWA watachachamaaUtapigwa mawe kuliko Wasira.
Ni haki yake ya kikatiba...Uhuru wa kutoa maoni...km una hoja pinzani ni vyema kuiweka kuiwasilisha instead of doing character assasination...hoja hujibiwa kwa hoja na si vinginevyo.Wassira anazeeka vibaya
Huyo ni kada mwaminifu na mtiifu wa ccm labda kuliko wote kwa sasa ndani ya ccm. Anasema ccm kumejaa fitina na majungu mengi ili kulinda nafasi za wahusika...
Usifananishe Wazalendo wa kweli na chawa wa mama.Hao chawa tunawadharau kama tulivyo wadharau wale sukuma gang.
Huu ndio ukweli, wavaa kobazi, Huwa sio watu wakuamini.Ukisha jaza wavaa kobazi lazima chama kiharibike nakumbuka enzi za Kikwete na makamba
USSR
Kuna Mtu ( hasa hawa wana CCM ) wasioujua Moto wangu GENTAMYCINE hapa JamiiForums?Utapigwa mawe kuliko Wasira.
Hawa wanaojiita Chawa, wapuuzi sana, Leo hii miaka miwili ya Samia, Kila kitu limerudi Enzi za kikwete .😀😀 CHAWA watachachamaa
Mbona J S Warioba aliwahi kuema hayo enzi Y MAKAMBA akiwa KM lkn Makamba huyohuyo na KINGUNGE wakawa na kipindi maalumu kupitia TBC TV kwa ajili ya kujibu hoja ya Warioba na waliishia kumwambia kuwa aanzishe chama chake. Ajabu Kingunge alihama ccm baadae."CCM kwa sasa kumejaa Majungu na Fitna na kama haya yasiporekebishwa haraka Chama kitaparaganyika na Watu kuvuragana kisha Kuanguka Kisiasa"
Akina GENTAMYCINE Kutwa tukiwa tunasema hapa JamiiForums kuwa CCM kuna tatizo Kubwa na Chama Kijitafakari pamoja na Watendaji wake huwa hamtuelewi na badala yake mnatutukana na hata kutuundia Tume / Kamati za Kutunyamazisha.
Haya mbishieni sasa Mzee Wassira.
Hakika,, Dawa ya mtu mjinga, uende naye Kichwa Kichwa .Kuna Mtu ( hasa hawa wana CCM ) wasioujua Moto wangu GENTAMYCINE hapa JamiiForums? Nitawapokea kama watakavyokuja na labda kupitia Kwako hapa niwaonye waje Kistaarabu vinginevyo watapokea kile ambacho Palestine inakipokea kutoka kwa Taifa Teule la Israel.
Mbona hiyo itakuwa ni habari njema 🏃🏃"CCM kwa sasa kumejaa Majungu na Fitna na kama haya yasiporekebishwa haraka Chama kitaparaganyika na Watu kuvuragana kisha Kuanguka Kisiasa"
Akina GENTAMYCINE Kutwa tukiwa tunasema hapa JamiiForums kuwa CCM kuna tatizo Kubwa na Chama Kijitafakari pamoja na Watendaji wake huwa hamtuelewi na badala yake mnatutukana na hata kutuundia Tume / Kamati za Kutunyamazisha.
Haya mbishieni sasa Mzee Wassira.
Kwskuwa amesema Ukweli unaowachomeni Wanafiki na Majuha mliojazana CCM hasa UVCCM au?Wassira anazeeka vibaya
Another Juha.Unapozeeka kubali matokeo na kubali kukaa pembeni waachie vijana wasongeshe! Uzee ni Uzee tu hauna jinsi atulie tu kama sisi wazee wenzake!
Unapozeeka kubali matokeo na kubali kukaa pembeni waachie vijana wasongesheWassira anazeeka vibaya
Nakazia, akae pembeni apishe, ameshatumikia vyema chama huko zamani tunamshukuru sana.Another Juha.
CCM inataka Maridhiano na vyama vingine vya siasa wakati ndani ya CCM kuna makundi yanavutana miaka nenda rudi na Mwenyekiti hataki kufanya Maridhiano ya ndani kwake kwanza."CCM kwa sasa kumejaa Majungu na Fitna na kama haya yasiporekebishwa haraka Chama kitaparaganyika na Watu kuvuragana kisha Kuanguka Kisiasa"
Akina GENTAMYCINE Kutwa tukiwa tunasema hapa JamiiForums kuwa CCM kuna tatizo Kubwa na Chama Kijitafakari pamoja na Watendaji wake huwa hamtuelewi na badala yake mnatutukana na hata kutuundia Tume / Kamati za Kutunyamazisha.
Haya mbishieni sasa Mzee Wassira.
Hata Hayati Mzee Mkapa akiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM aliwahi kusema hivyo hivyo, lakini CCM ipo imara hadi leo. Wapi utakuta kundi la watu wakiwa pamoja na hakuna majungu, fitina, uongo, nk? Anzia ofisini kwenu!"CCM kwa sasa kumejaa Majungu na Fitna na kama haya yasiporekebishwa haraka Chama kitaparaganyika na Watu kuvuragana kisha Kuanguka Kisiasa"
Akina GENTAMYCINE Kutwa tukiwa tunasema hapa JamiiForums kuwa CCM kuna tatizo Kubwa na Chama Kijitafakari pamoja na Watendaji wake huwa hamtuelewi na badala yake mnatutukana na hata kutuundia Tume / Kamati za Kutunyamazisha.
Haya mbishieni sasa Mzee Wassira.