Alikuepo Dr Magufuli. Kwa sasa labda Dr Mpango tu.Mzendo wa kweli ni yupi ndani ya ccm?
Huyo ni kapuku tu maana hata kipara kipya ambaye ni mlinzi wa getini na mpika chai wa lumumba hamjuiNgoja aje mfia Chama johnthebaptist tuone anasemaje kuhusu Chama chao!!
Bora CCM kuliko chama chochote kingine hapa nchini. Japo CCM imelea ujinga mwingi sana.Huyo ni kada mwaminifu na mtiifu wa ccm labda kuliko wote kwa sasa ndani ya ccm. Anasema ccm kumejaa fitina na majungu mengi ili kulinda nafasi za wahusika.
Kama Wasira amekiri huo uchafu ndani ya chama mimi nani nisiamini kuwa ccm haifai kuendelea kushika dola? Watanzania tufanye maamuzi magumu tuiondoshe ccm madarakani mwaka 2025.
View attachment 2578249
Ukweli mtupu kaongea TysonHuyo ni kada mwaminifu na mtiifu wa ccm labda kuliko wote kwa sasa ndani ya ccm. Anasema ccm kumejaa fitina na majungu mengi ili kulinda nafasi za wahusika...
Unamtaka mzee Wasira?Hao chawa tunawadharau kama tulivyo wadharau wale sukuma gang.
Tuhabarishane wakuu; Wasira kazungumzia nini/tatizo gani?Yasemwayo yapo, kama hayapo yatakuja
Ukiangalia kwa makini utagundua kuwa kasi ya chawa imepunguzwa kwa ile ripoti ya CAG na nina wasiwasi na nafasi yake huko tuendako."CCM kwa sasa kumejaa Majungu na Fitna na kama haya yasiporekebishwa haraka Chama kitaparaganyika na Watu kuvuragana kisha Kuanguka Kisiasa"
Akina GENTAMYCINE Kutwa tukiwa tunasema hapa JamiiForums kuwa CCM kuna tatizo Kubwa na Chama Kijitafakari pamoja na Watendaji wake huwa hamtuelewi na badala yake mnatutukana na hata kutuundia Tume / Kamati za Kutunyamazisha.
Haya mbishieni sasa Mzee Wassira.
Kwenye suala la uteuzi wa Sabaya, Makonda na Gambo Dr Magufuli sikumuelewa aliona nini kizuri kwa hawa Watu.Wacha kukufuru,ogopa Mungu yaani jiwe uzalendo huo apate wapi?
Unafuga kina Sabaya alafu ujiite mzalendo?
Mmh! Mkuu wewe ndiye umechafukwa zaidi kuliko watanzania woteSiyo CCM tu,vyama vyote vya siasa,vyama vyote vya wafanya kazi na Dini zote na madhehebu yote ni vyuo vya UNAFIKI.
Kwenye suala la uteuzi wa Sabaya, Makonda na Gambo Dr Magufuli sikumuelewa aliona nini kizuri kwa hawa Watu.Wacha kukufuru,ogopa Mungu yaani jiwe uzalendo huo apate wapi?
Unafuga kina Sabaya alafu ujiite mzalendo?
Wamekusoma ni utekelezaji Tu ndo unafuata"CCM kwa sasa kumejaa Majungu na Fitna na kama haya yasiporekebishwa haraka Chama kitaparaganyika na Watu kuvuragana kisha Kuanguka Kisiasa"
Akina GENTAMYCINE Kutwa tukiwa tunasema hapa JamiiForums kuwa CCM kuna tatizo Kubwa na Chama Kijitafakari pamoja na Watendaji wake huwa hamtuelewi na badala yake mnatutukana na hata kutuundia Tume / Kamati za Kutunyamazisha.
Haya mbishieni sasa Mzee Wassira.
Ukiwa makini utaona niliyoyasema.Mmh! Mkuu wewe ndiye umechafukwa zaidi kuliko watanzania wote
Kwahiyo wewe popoma, hakuna Fitina na majungu?Unapozeeka kubali matokeo na kubali kukaa pembeni waachie vijana wasongeshe! Uzee ni Uzee tu hauna jinsi atulie tu kama sisi wazee wenzake!
Hao ndiyo vijana waliokuwa wanatekeleza maagizo yake maana hata Sabaya kwenye moja ya utetezi wake alisema kuwa aliyo yafanya alikuwa anatekeleza maagizo ya mkuu wakeKwenye suala la uteuzi wa Sabaya, Makonda na Gambo Dr Magufuli sikumuelewa aliona nini kizuri kwa hawa Watu.