instagramboy
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 1,521
- 346
Mpende na umheshimu mtu anayekuamini ukiwa mbali naye,uko mbali ila anakuamini hana wasiwasi,hata mkiwa kwenye ndoa akienda kumalizia kozi unamwamini.
Wanaoojidai hawawezi distance relationship waogope lazima wakucheat,uko mbali why asichepuke,ukitoka Kidogo lazima uogope kusalitiwe,sio wavumilivu.
Wanaoweza distance relationship ndo mpango,wana subira na wavumilivu.
Ukiona upo na mpenzi na unalala naye kila siku na kuishi pamoja kubali kuumia kichwa.
Ni kweli ila si kama ile ya sauda mwilima na mumewe