Hawakukosea walivyosema hivyo hao mababu wa kale....teh tehKumbe skuizi fimbo ya mbali inaua nyoka!?
Hawakukosea walivyosema hivyo hao mababu wa kale....teh tehKumbe skuizi fimbo ya mbali inaua nyoka!?
siku yakikukuta utasimulia.
Pole sana,inauma sana mtu anapolalamika kila siku na hakuamini,Ngumu sana kudumu na asiyekuamininilifanikiwa kukaa na long distance relationship bila kucheat kwa muda wa mwaka mmoja.
Mwenyewe nilikuwa sijiamini kama kweli siku zinaenda na nazidi kumpenda na yeye ndio nina muhitaji zaidi ya mwengine yeyote yule.
Nilifurahi sana siku alivyorudi.
Ila sasa ukaguzi ulioanza hapo ndo ukawa shidaa.
Tulidumu kwa mwaka mmoja tena, ila tuhuma dhidi ya yeyote niliyechat nae awe amenitongoza au text za kuhusu mapenzi ziliniandana na roho iliniuma ni balaa maana Mungu ndio anajua kuwa nilimuheshimu na sikuwahi hata siku moja kumsaliti.
Hakuamini maneno yangu, akanituhumu nina relation ambayo haielewek na ndugu yake kisa aliniita mke wangu(utani wa shemeji). Nilikuwa naweka limit sana katika utani, ilivyoonekana hiyo text ikawasha moto.
Wakati huyo kakake mwenyewe hajawahi kusafiri kuja mkoa niliko kwa kipindi chote hiko na alilijua hilo(taarifa kutoka kwao).
Tuhuma zilinizidi wakati nilijitahidi sanaaaa.
Nikashindwa, nikaamua kuachia ngazi mwenyewe na sidhani kama naweza rudi tena.
Kila nilipojitahidi kumsamehe na kurudisha hali ya zamani ya mapenzi nimeona nashindwa sababu hakuamini maneno yangu wakati mimi niliamini sana maneno na matendo yake alivyokuwa mbali na mimi.
Ile avartar yako nyingine ilikua nzuri ujue
ndio mkuu,sikia kwa mwingineHayajanikuta bado labda ndio maana....wewe yamekukuta ndugu?
Mpende na umheshimu mtu
anayekuamini ukiwa mbali naye,uko mbali ila anakuamini hana
wasiwasi,hata mkiwa kwenye ndoa akienda kumalizia kozi unamwamini.
Wanaoojidai hawawezi distance relationship waogope lazima wakucheat,uko
mbali why asichepuke,ukitoka Kidogo lazima uogope kusalitiwe,sio
wavumilivu.
Wanaoweza distance relationship ndo mpango,wana subira na wavumilivu.
Ukiona upo na mpenzi na unalala naye kila siku na kuishi pamoja kubali
kuumia kichwa.
Hapa ndio huwa nashindwa kuwaelewa hawa watu!!!
Sioni ugumu wa kuhandle distance relation kama kweli mmependana
halafu nimekumiss ujue
Hawakukosea walivyosema hivyo hao mababu wa kale....teh teh
Pole sana,inauma sana mtu anapolalamika kila siku na hakuamini,Ngumu sana kudumu na asiyekuamini
My dear pole. Watu kama ex wako huwa ndio wanacheating. Ukiona hivyo alishawahi kufanya hivyo kwa hiyo anafikiri na wewe umo humo..so I'm glad umeachana nae ili upate Amani moyoni mwako. Ungeolewa nae angekuja kukupa shida sana baadae. The thing is once the trust is broken, then no love after that no relationship. Asante .