.
Mmh roho mtakatifu na mapenzi
Hongera but najua kucheat ni Siri yako
Sioni ugumu wa kuhandle distance relation kama kweli mmependana
U sound like my girlfriend tusije tumekutana kwa Id tofauti
i can handle this though ina changamoto nyingi mnooo.. usipokuwa strong unaeza ukaahirisha safari..
upendo unazidi kama na yeye hajakuchitUnakuwa unammiss sana,how do u feel unapomwona mpenzi wako uliyemmiss na hujamcheat
pole sananilifanikiwa kukaa na long distance relationship bila kucheat kwa muda wa mwaka mmoja.
Mwenyewe nilikuwa sijiamini kama kweli siku zinaenda na nazidi kumpenda na yeye ndio nina muhitaji zaidi ya mwengine yeyote yule.
Nilifurahi sana siku alivyorudi.
Ila sasa ukaguzi ulioanza hapo ndo ukawa shidaa.
Tulidumu kwa mwaka mmoja tena, ila tuhuma dhidi ya yeyote niliyechat nae awe amenitongoza au text za kuhusu mapenzi ziliniandana na roho iliniuma ni balaa maana Mungu ndio anajua kuwa nilimuheshimu na sikuwahi hata siku moja kumsaliti.
Hakuamini maneno yangu, akanituhumu nina relation ambayo haielewek na ndugu yake kisa aliniita mke wangu(utani wa shemeji). Nilikuwa naweka limit sana katika utani, ilivyoonekana hiyo text ikawasha moto.
Wakati huyo kakake mwenyewe hajawahi kusafiri kuja mkoa niliko kwa kipindi chote hiko na alilijua hilo(taarifa kutoka kwao).
Tuhuma zilinizidi wakati nilijitahidi sanaaaa.
Nikashindwa, nikaamua kuachia ngazi mwenyewe na sidhani kama naweza rudi tena.
Kila nilipojitahidi kumsamehe na kurudisha hali ya zamani ya mapenzi nimeona nashindwa sababu hakuamini maneno yangu wakati mimi niliamini sana maneno na matendo yake alivyokuwa mbali na mimi.
pole sana
nilifanikiwa kukaa na long distance relationship bila kucheat kwa muda wa mwaka mmoja.
Mwenyewe nilikuwa sijiamini kama kweli siku zinaenda na nazidi kumpenda na yeye ndio nina muhitaji zaidi ya mwengine yeyote yule.
Nilifurahi sana siku alivyorudi.
Ila sasa ukaguzi ulioanza hapo ndo ukawa shidaa.
Tulidumu kwa mwaka mmoja tena, ila tuhuma dhidi ya yeyote niliyechat nae awe amenitongoza au text za kuhusu mapenzi ziliniandana na roho iliniuma ni balaa maana Mungu ndio anajua kuwa nilimuheshimu na sikuwahi hata siku moja kumsaliti.
Hakuamini maneno yangu, akanituhumu nina relation ambayo haielewek na ndugu yake kisa aliniita mke wangu(utani wa shemeji). Nilikuwa naweka limit sana katika utani, ilivyoonekana hiyo text ikawasha moto.
Wakati huyo kakake mwenyewe hajawahi kusafiri kuja mkoa niliko kwa kipindi chote hiko na alilijua hilo(taarifa kutoka kwao).
Tuhuma zilinizidi wakati nilijitahidi sanaaaa.
Nikashindwa, nikaamua kuachia ngazi mwenyewe na sidhani kama naweza rudi tena.
Kila nilipojitahidi kumsamehe na kurudisha hali ya zamani ya mapenzi nimeona nashindwa sababu hakuamini maneno yangu wakati mimi niliamini sana maneno na matendo yake alivyokuwa mbali na mimi.
Sioni ugumu wa kuhandle distance relation kama kweli mmependana