Wasioweza distance relationship si waaminifu

Wasioweza distance relationship si waaminifu

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Mpende na umheshimu mtu anayekuamini ukiwa mbali naye,uko mbali ila anakuamini hana wasiwasi,hata mkiwa kwenye ndoa akienda kumalizia kozi unamwamini.

Wanaoojidai hawawezi distance relationship waogope lazima wakucheat,uko mbali why asichepuke,ukitoka Kidogo lazima uogope kusalitiwe,sio wavumilivu.

Wanaoweza distance relationship ndo mpango,wana subira na wavumilivu.

Ukiona upo na mpenzi na unalala naye kila siku na kuishi pamoja kubali kuumia kichwa.
 
Na kama unampenda utamtafutia msaidizi ili asiwe anachoka sana either yupo ama hayupo.
 
Na kama unampenda utamtafutia msaidizi ili asiwe anachoka sana either yupo ama hayupo.

We mojawapo huwezi distance relationship
 
Inategemea na umbali..........0 - 3km sawa..........zaidi........m'mbanuu...........
 
Sioni ugumu wa kuhandle distance relation kama kweli mmependana

Ni Kweli unachokisema. Upendo Wa Kweli ndio una seal kila kitu. Kama.Kweli.mnapendana why cheating? Tena long distance relationship ambaoina mapenzi ya Kweli ni matamu Kweli asikudanganye mtu . Asante.
 
Ni Kweli unachokisema. Upendo Wa Kweli ndio una seal kila kitu. Kama.Kweli.mnapendana why cheating? Tena long distance relationship ambaoina mapenzi ya Kweli ni matamu Kweli asikudanganye mtu . Asante.

Unakuwa unammiss sana,how do u feel unapomwona mpenzi wako uliyemmiss na hujamcheat
 
Unakuwa unammiss sana,how do u feel unapomwona mpenzi wako uliyemmiss na hujamcheat

Yaani siwezi kuelezea hapa kwa uwazi ila inakuwa so sweet, healthy, more friendship na romantic. But sometimes it can get nasty kwenye wivu though na kumisiana sana. Only I can say communications is very high commanded to keep ball moving . Asante .
 
Yaani siwezi kuelezea hapa kwa uwazi ila inakuwa so sweet, healthy, more friendship na romantic. But sometimes it can get nasty kwenye wivu though na kumisiana sana. Only I can say communications is very high commanded to keep ball moving . Asante .

Wivu hapo ni noma,sometimes mnazingua but unaona bado
unamhitaji,mkiwa pamoja lazima mhadithiane mlivyovumilia
 
Wivu hapo ni noma,sometimes mnazingua but unaona bado
unamhitaji,mkiwa pamoja lazima mhadithiane mlivyovumilia

Haswaa na hapo mkihadisiana ujue mambo sweet lovee yanafuata Lol . make up for break up, Aaaaaaaa aaaaahhhaaa. Jamani love is so good when you get a right person . Asante.
 
Mim ni mhanga wa long distance relationship na tunaish kama tunaonana tofaut iliyopo yupo far tu ila tunaonana via social netwoks na nimedumu kwenye hii long distance relationship kwa miaka miwil na nusu
 
Haswaa na hapo mkihadisiana ujue mambo sweet lovee yanafuata Lol . make up for break up, Aaaaaaaa aaaaahhhaaa. Jamani love is so good when you get a right person . Asante.

U sound like my girlfriend tusije tumekutana kwa Id tofauti
 
Mim ni mhanga wa long distance relationship na tunaish kama tunaonana tofaut iliyopo yupo far tu ila tunaonana via social netwoks na nimedumu kwenye hii long distance relationship kwa miaka miwil na nusu

Hongera but najua kucheat ni Siri yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom