Wasioamini katika dini tukutane hapa!!

Upagani ni dini inayoamini vitu ambavyo siyo Mungu.
Kuna nyie msioamini Mungu na sisi tusioamini mizimu. Hizo ndo dini.
Naomba kuuliza, je ni nani amewahi kuthibitisha haya mambo tunayoambiwa kwenye dini na taratibu ambazo dini imetaka tuamini?
 
Dini,ushirikina,majini vyote ni matokeo ya watu dhaifu kifikra i mean wengi wao watumia hisia
 
Dini,ushirikina,majini vyote ni matokeo ya watu dhaifu kifikra i mean wengi wao watumia hisia
Aise naheshimu sana wafia dini ila logically naona kufanya kama wao ni ujinga
 
Hamna utofauti Mkuu hamna Cha kitabu takatifu udhaifu wa mwanadamu tena wengi upo kwenye akili
Waafrika ndo tumezidi ujinga. Yaani walotuletea dini wapo bize kutafuta utajiri africa, wakati waafrica wenyewe tupo bize kumtafuta mungu na uzima wa milele.. ni useng* tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…