Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 2,281
- 4,465
Wapagani wenzangu, habari za jioni. Karibuni tujadili kuhusu Imani Yetu.
😅Karibuni ndugu
Nzuri Mwenyekiti.Wapagani wenzangu, habari za jioni. Karibuni tujadili kuhusu Imani Yetu.
Wasioamini dini sio wapagani(pagans) bali ni Atheists, pia kutokuamini dini sio aina ya imani. Hakuna imani ya watu wasioamini dini.Wapagani wenzangu, habari za jioni. Karibuni tujadili kuhusu Imani Yetu.
Waafrika ni washenz maradufuwazungu ni washenzi sana
😂😂 ili Ukimbie na sadaka zetuNaomba niteuliwe kama mkusanya sadaka au haitajiki 😁
Mungu yupi tena aliyemfufua Yesu? Si hua mnasema kua Yesu ni Mungu?UNAWEZA USIAMINI KATIKA DINI.
ILA UKAMWAMINI MUNGU KUA ALIMFUFUA YESU KWA WAFU NA UKAMKIRI YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO.
YESU ASIFIWE
FUTA comment yako tutajirike kaka 😂😂😂😂😂 ili Ukimbie na sadaka zetu
Warumi 8: 11-13Mungu yupi tena aliyemfufua Yesu? Si hua mnasema kua Yesu ni Mungu?