permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,026
- 11,219
Wanawake fanyeni kazi acheni kupenda vya bure.Na mali za mme wake zinafanya kazi gani?
Wanawake fanyeni kazi acheni kupenda vya bure.Na mali za mme wake zinafanya kazi gani?
Tamaa ya fedha ni kwa huyu anayefungua kesi mbilimbili, kesi ya msingi haijaisha tayari kashafungua nyingine. Unaamini kilichompeleka Jack kwa yule mzee ni nini zaidi ya pesa?Watoto hawana hatia yoyote, wachaga acheni tamaa ya mali
Waliozitafuta ndio hao walionazo.Hela za Mengi ulizitafuta wewe mpaka uwanyime watoto wake?
Kwani wanaozimiliki siyo watoto wa Mengi, udangaji una mwisho.Mna roho mbaya sana ,tafuteni zenu acheni mali za watoto
Daah sasa ataishi bila familia mpka lini,dada nae hana mtoto...mengi hakuona wajukuu mpka kifo kimemchukuaMwanaume sio fala Mkuu anajikinga kila anapopita anajua mbegu zake zinawindwaDunia Ina mambo kule Abdiel anapotaka azaliwe Mwanamke hakubali
yaani we km mimi,tena namuomba Mungu anisaidieSana sana sana. Na ndo wanWakamata kiulaini mzee. Yaan hata leo hii nikaolewa na bilionea, yaan kitu ambacho sijakichangia hakijanitoa jasho. Naamini katika mafundisho ya dini yaliyonilea aisee. Na Mungu aninyine hiyo tamaa. Na hapa naiangalia familia yangu kwa baba ni extended balaa. Mzee akaanguka leo halaf nisikie fala mmoja anagombania mali. Namla na risasi. Hujazitafuta unaumia nn. Tabia mbaya sana. Tamaa ni mzizi wa dhambi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app