miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
We uko dunia gani. Kampora shogakeUna uhakika kuwa mwanamke alimfukuzia mwanaume?.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
We uko dunia gani. Kampora shogakeUna uhakika kuwa mwanamke alimfukuzia mwanaume?.
Shida Tena kubwa mnoooKama mwananchi wameanza kuandika udaku namna hii basi kuna shida mahali katika tasnia ya habari.
Sijasomea sheria that's what I heard
Mahakamani hatutaki hearsay. Haya kateseke na dunia uache mirathi na wewe igombaniwe hiviSijasomea sheria that's what I heard
Wewe unayeijua sheria pengine utuambie
Hahaha whateveerrrr....Mahakamani hatutaki hearsay. Haya kateseke na dunia uache mirathi na wewe igombaniwe hivi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Makundi yalimdanganyaAlitakiwa kutumia jina la mzee kujenga business empire yake lakini yeye alilenga kula alivyovikuta.
Wanawake waki Africa vichwa maji kweli Yani Kashindwa kuwekeza vitega uchumi kwaajir ya watoto wake wakati mengi yupo hai anataka Maisha Bora ya wanae wakati baba yao hayupo tena dunian,yeye hajui Africa ni tofauti na Ulaya, Sisi wa Africa ni jamii ya kijadiNdio akili za mwanamke mjinga, kipindi kile anaspend kwenye mahotel luxury Dubei pesa angaitumia kuiwekeza kwenye
real Estate Leo asingebaki analialia,
Wanawake wa bongo fleva na bongo movie wanapenda Sana show of wanazidiwa maarifa, ujanja na Shilole std 7 Igunga primary school?
Hizo hasira zinawahusu pia watoto wa Mengi?kwani yeye alivyomuua yule mzee alitegemea ndio atapata raha na kutumbua mihela? apambane na hali yake mnyarwanda yule, kule machame akileta za kuleta atapigwa beto la shingo na ataamriwa kulipa kwanini hilo beto limemchoma, chezeiya wapalestina wewe akae kwa kutulia bado wana hasira na tajiri wao aliyetangulizwa mbele za haki
Abdiel aoe kwa prenupKama wewe umefanikiwa kupata mtoto mshukuru Mungu, kuoa na kuolewa kwa Maisha na mitihani waliyopitia kwa kuona Baba yao sio kitu cha wao kuamka nakuoa mtu yoyote
Matukio ya Dr Mengi yamewaalibu kisaikolojia, hawaamini mtu , kila mwanamke wanadhani amefata Mali au atawapitisha kwenye mitihani ya Mzee wao, Mamiss Tanzania wameishiwa kuliwa chini chini na kuachwa. Japo za chini ya carpet Abdiel ameamua kuoa
AiseeKyln alikua anaonga wafanyakazi wa airlines , alikua anaambiwa Mzee akiwa anasafiri ratiba yote wanakua nayo ,ni kazi ngumu lakini ndio maisha
Hata kama asingefanya pre nap huyo mke si kakuta mali? Atulie tulii. Sisi wanawake tuna tamaa sana. Ndo wale tukishaoleea mume akifilisika tunaanza kudanga live bila uogaAbdiel aoe kwa prenup
Azae sasa
Kwani nani alimfuata mwenzake.tujalie wewe ni.baba wa jak wengegoma kumuozesha bint yako.Mjane wapi sema jambazi lililotumia silaha za kibailojia kwa maana ya urembo wake
Huyo dada anajulikana mjini kwa mishe zake za kudanga,Mzee Mengi alichemsha sana pale na huenda stress za mapenxo zimemuua mzee wa watuKwani nani alimfuata mwenzake.tujalie wewe ni.baba wa jak wengegoma kumuozesha bint yako.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Jacky alikia anamsaka mzee kwa udi na uvumba hadi akaunga ushoga na ritha na kufanikisha azma yake....Huyo dada anajulikana mjini kwa mishe zake za kudanga,Mzee Mengi alichemsha sana pale na huenda stress za mapenxo zimemuua mzee wa watu
Madada wa mjini hatari sanaJacky alikia anamsaka mzee kwa udi na uvumba hadi akaunga ushoga na ritha na kufanikisha azma yake....
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Alikuwa na uwezo wakujenga nyumba tano za kisasa kila mwaka za gharama nafuu maeneo ya makazi ya watu ambayo sasa angeishi vizuri tu kwa kodi za wapangaji.Ndio akili za mwanamke mjinga, kipindi kile anaspend kwenye mahotel luxury Dubei pesa angaitumia kuiwekeza kwenye
real Estate Leo asingebaki analialia,
Wanawake wa bongo fleva na bongo movie wanapenda Sana show of wanazidiwa maarifa, ujanja na Shilole std 7 Igunga primary school?