Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Tamaa tamaa tamaa mbaya Sana

Hii dhambi unaendelea kumtafuna Jac, hivi. Hauoni aibu ,

Yeye simjasiriamali anashindwa hata kuwasmesha watoto zake kweli ,, shame
 
Alitakiwa kutumia jina la mzee kujenga business empire yake lakini yeye alilenga kula alivyovikuta.
Makundi yalimdanganya
Sasa wenye wakisema hukuna kinachoingia aka hakuna pesa
Ajishushe aishi maisha ya kawaida
Watoto peleka Muhimbili Primary au Bunge
Akiendelea kuishi kama Mzee yupo atashangaa dunia imemwacha mbali sana
 
Ndio akili za mwanamke mjinga, kipindi kile anaspend kwenye mahotel luxury Dubei pesa angaitumia kuiwekeza kwenye
real Estate Leo asingebaki analialia,

Wanawake wa bongo fleva na bongo movie wanapenda Sana show of wanazidiwa maarifa, ujanja na Shilole std 7 Igunga primary school?
Wanawake waki Africa vichwa maji kweli Yani Kashindwa kuwekeza vitega uchumi kwaajir ya watoto wake wakati mengi yupo hai anataka Maisha Bora ya wanae wakati baba yao hayupo tena dunian,yeye hajui Africa ni tofauti na Ulaya, Sisi wa Africa ni jamii ya kijadi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani yeye alivyomuua yule mzee alitegemea ndio atapata raha na kutumbua mihela? apambane na hali yake mnyarwanda yule, kule machame akileta za kuleta atapigwa beto la shingo na ataamriwa kulipa kwanini hilo beto limemchoma, chezeiya wapalestina wewe akae kwa kutulia bado wana hasira na tajiri wao aliyetangulizwa mbele za haki
 
kwani yeye alivyomuua yule mzee alitegemea ndio atapata raha na kutumbua mihela? apambane na hali yake mnyarwanda yule, kule machame akileta za kuleta atapigwa beto la shingo na ataamriwa kulipa kwanini hilo beto limemchoma, chezeiya wapalestina wewe akae kwa kutulia bado wana hasira na tajiri wao aliyetangulizwa mbele za haki
Hizo hasira zinawahusu pia watoto wa Mengi?
 
Kama wewe umefanikiwa kupata mtoto mshukuru Mungu, kuoa na kuolewa kwa Maisha na mitihani waliyopitia kwa kuona Baba yao sio kitu cha wao kuamka nakuoa mtu yoyote

Matukio ya Dr Mengi yamewaalibu kisaikolojia, hawaamini mtu , kila mwanamke wanadhani amefata Mali au atawapitisha kwenye mitihani ya Mzee wao, Mamiss Tanzania wameishiwa kuliwa chini chini na kuachwa. Japo za chini ya carpet Abdiel ameamua kuoa
Abdiel aoe kwa prenup

Azae sasa
 
Ndio akili za mwanamke mjinga, kipindi kile anaspend kwenye mahotel luxury Dubei pesa angaitumia kuiwekeza kwenye
real Estate Leo asingebaki analialia,

Wanawake wa bongo fleva na bongo movie wanapenda Sana show of wanazidiwa maarifa, ujanja na Shilole std 7 Igunga primary school?
Alikuwa na uwezo wakujenga nyumba tano za kisasa kila mwaka za gharama nafuu maeneo ya makazi ya watu ambayo sasa angeishi vizuri tu kwa kodi za wapangaji.

Ila shida wadada wa kisasa wanataka kuishi kama akina JLo au Kim Kardashian wakati kipato chenyewe ni cha kusuasua.
 
Back
Top Bottom