EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,659
- 12,875
Hakuna mtu anayependa ubwabwa kama muislamu hapo wanaulia taimingi huo Mchele na wenyewe wapate kuuonja
Na tende
COVID itakumbukwa daimaMsaliti lazima apigwe kila dakika
Wanalazimisha kiki tu hawana loloteHuwa wana mbwembwe sana hao jamaa..
Una uhakika Shehe?Tende hazijarutubishwa shekhe
Huko Sudan, Yemen na Somalia kwenye waislam wa kutosha wanakula mchele wa Mamarekani. Gaza unashushwa kwa maparashuti watu wanaugombea ..... Tanzania maskini jeuri. Kuna watu hajui kuwa Tanzania almost 40 % ya watoto wamedumaa kwa ajili ya kukosa lishe bora. Yaani watoto wapate utapia mlo kwa vile tu wanasubiria mchele wa Kyela. Watoto dodom wanashindia mboga mboga za majani sometimes bila hata kuonja starch. Kama Tanzania ina chakula cha kutosha si iwapelekee huo mchele wa Kyela bure .... kwa mwka mzima.Waislam wako sawa na wana uhuru wa kuukataa huo mchele.
Na Kwa wakristo kama wanaona unawafaa ni fursa nzuri kuchukua chakula cha kutosha wakale na familia zao.
Ila usiseme ni ubaguzi wa kidini maana hamna dini inaitwa marekani, zipo nchi nyingi ambazo hazikubaliani na marekani na siyo nchi za kiislam.
Nawaunga mkono kwa 100% , virubisho kwenye vyakula ati kupunguza utapia mlo kwa watoto, hivi kwa umri huu tumefika kwa kula vyakula vyenye virutubisho kutoka ulaya?Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.
Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.
MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.
Nawasilisha.
Halafu wanaosoma Marekani ni watoto wa lisu pekee?Bila kumtaja Tundu Lissu naona siku nzima unajiharishia.
Mpinga maendeleo yuleBila kumtaja Tundu Lissu naona siku nzima unajiharishia.
Seems the guy is just like a little mary sunshine or some sort of promiscuousYani Mchele wa marekani ndiyo utugawe kati ya wakristo na waislamu wa Tanzania!!?
Akili za wapi hizi?
Una uhakika Shehe?
Mavyakula gani?Waende Zanzibar wakashuhudie mavyakula ya ajabu yaliyojaa ambayo ndugu zao kwenye Imani ndio chakula chao pendwa.
Mchele wa mapembe, mapeduu nk .Mavyakula gani?
Sema neno MkuuSeems the guy is just like a little mary sunshine or some sort of promiscuous
Achani wakatae, tena wanakataa kwa hoja. Wakristo kama mliletewa miujiza ya kitapeli na ushoga mnapokea itakuwa mchele?