Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata
> sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya
> marehemu tuliyemzika hapa leo. karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli
> hiyo" Msomaji: Ifuatayo in historia fupi ya marehemu tuliyemlaza ktk
> nyumba ya milele.
>
> Marehemu alizaliwa juu ya mti ambapo mzazi wake alijihifadhi baada ya
> kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita, hakubahatika kupata kazi ya maana
> japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada
> ya kuona elimu haina mpango kwake.
>
> Marehemu alikuwa kero kwa familia yake hasa kwa tabia yake chafu ya udokozi
> wa mboga, uongo, uvutaji ban! gi, ubakaji wa mifugo na baadae ushoga.
>
> Mimi binafsi mjomba wake nimefurahishwa sana na kifo cha marehemu huyu
> kwani alishawahi kunipakazia kuwa nimekufa kwa kipindupindu kiasi kwamba
> ndugu wote wakakusanyika na kunililia msiba.
>
> Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa!
> pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga tangu
> tarehe 06/04/99.
>
> Marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya
> kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi vitatu vya
> mduara.
>
> Kwa niaba ya familia, wazazi na ndugu wa marehemu tunatoa pongezi kwa Mungu
> kwa kutupunguzia kero.
>
> Asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe, kama kuna mkong'oto
> huko ampe kiaina.
>
> AMINA
>
Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata
> sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya
> marehemu tuliyemzika hapa leo. karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli
> hiyo" Msomaji: Ifuatayo in historia fupi ya marehemu tuliyemlaza ktk
> nyumba ya milele.
>
> Marehemu alizaliwa juu ya mti ambapo mzazi wake alijihifadhi baada ya
> kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita, hakubahatika kupata kazi ya maana
> japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada
> ya kuona elimu haina mpango kwake.
>
> Marehemu alikuwa kero kwa familia yake hasa kwa tabia yake chafu ya udokozi
> wa mboga, uongo, uvutaji ban! gi, ubakaji wa mifugo na baadae ushoga.
>
> Mimi binafsi mjomba wake nimefurahishwa sana na kifo cha marehemu huyu
> kwani alishawahi kunipakazia kuwa nimekufa kwa kipindupindu kiasi kwamba
> ndugu wote wakakusanyika na kunililia msiba.
>
> Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa!
> pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga tangu
> tarehe 06/04/99.
>
> Marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya
> kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi vitatu vya
> mduara.
>
> Kwa niaba ya familia, wazazi na ndugu wa marehemu tunatoa pongezi kwa Mungu
> kwa kutupunguzia kero.
>
> Asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe, kama kuna mkong'oto
> huko ampe kiaina.
>
> AMINA
>
Hebu weka na wa Ghadafi..... na Rais fulani siku akifa.
Ooh..ooh..hapo mwisho, unadhani hata wanaposema mlaze mahali pema ndo anaenda kweli?? Hah haha ha
amen!
Ila mtu akifa, tunasahau maovu yake, tunamzika kwa amani.