mkokotoaji
Member
- Nov 26, 2013
- 54
- 10
nimeamua kuungana na nanyi katika kujibu hoja hii huyu jamaa hana cheo chochote ndani ya chama ila alikuwa mpiga kampeni kumuunga dr slaa uchaguzi ulopita kwa sas ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu hapo mzumbe university morogoro tunamfahamu fika kwa hulka ya usaliti na kigeugeu hatushashangai sana coz mm ni mtu mmoja kati ya watu ninae mfahamu toka mwaka wa kwanza na kwa kifupi jamaa ni anasoma health service managment ni spika wa bunge wa serikali ya wanafunzi asiyeweza kutumia nafasi yake kwa kuendleza falsafa za uoga na siyo mFANISI MZURI KATIKA UTENDAJI WAKE PIA ANADAIWA KUTUMIWA NA MAGAMBA KUISALITI CHADEMA MORE DETAILS TUTAZIWEKA HAPA