Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,453
- Thread starter
- #21
Ni muimbaji wa LEKA TUTIGITE lile kundi aliloasisi ZITTO na ndio atakuwa mwenyekiti wao akifukuzwa CHADEMA
Kumbe anakipaji cha uimbaji? "jahazi modern taarab'' inamfaa.
Ni muimbaji wa LEKA TUTIGITE lile kundi aliloasisi ZITTO na ndio atakuwa mwenyekiti wao akifukuzwa CHADEMA
Kama anatokea musoma ni mtoto wa nyumba ntobhu kama jaji werema,
Wasaliti kumbe huwa hawana aibu, wanajipanga kupiga picha baada ya vikao vyao hotelini. Dk. Mkumbo Chadema ikisambaratika kwa sababu ya u*ji*nga* wako wa kumuandaa Zitto kinyume na matakwa utalaaniwa sana. Hatujawahi hata kukuona unapigwa bomu moja katika kupigania chama, hesabu watu waliokufa, waliofungwa, bado kuna wengine kule ndago kwenu wamefungwa kwa sababu yako leo unawasaliti unaendelea na mikakati ya pamoja na mwigulu unatuhadaa unapambana naye. Vikao vyako unaandaliwa na Mwampamba heri zitoo anatuhumiwa siku nyingi kuwa msaliti, ila inaelekea mnajuana.
Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Chadema Taifa (Bavicha), umemalizika kwa kumchagua John Heche (pichani) kuwa mwenyekiti mpya wa baraza hilo, ambaye anamrithi Mbunge wa Ubungo kupitia chama hicho, John Mnyika.
Alichaguliwa usiku wa kuamkia jana katika mchuano mkali wa uchaguzi huo uliofanyika viwanja vya PTA Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Heche ameshinda kwa kupara kura 143 kati ya kura 264.
Wagombea waliopitishwa na Kamati Kuu kuwania nafasi hiyo walikuwa tisa lakini watatu kati yao walienguliwa na kamati ya wazee kwa tuhuma za rushwa na kujenga makundi.
Makamu Mwenyekiti kwa upande wa bara amechaguliwa Juliana Shonza kwa kupata kura 115 kati ya kura 214, wakati Makamu Mwenyekiti Zanzibar amechaguliwa Sharifa Hamis kwa kupata kura 170 kati ya kura 265.
Mjumbe wa Baraza Kuu Zanzibar amechaguliwa Zainab Bakari aliyepata kura 180 kati ya kura 263 na kwa upande wa Tanzania bara waliochaguliwa kuingia kwenye Baraza Kuu la Bavicha ni Alex Mushi kura 80, Edward Kinabo 96, Frank Fumpa 66 na Sabrina Sungura ambaye ni Mbunge wa Viti Maalum aliyepata kura 109.
Msimamizi wa uchaguzi huo, Mabere Marando, alisema jana kuwa alitangaza matokeo hayo jana saa 12:00 asubuhi kwani shughuli nzima ya uchaguzi huo ilifanyika usiku kucha.
Alisema walipitishwa na Kamati Kuu kuwania nafasi ya mwenyekiti walikuwa tisa lakini kutokana na mienendo ya rushwa na vitendo visivyo vya kimaadili waliamua kuwaengua wagombea watatu.
Aliwataja wagombea walioenguliwa kuwa ni Grayson Nyakarungu kutoka Serengeti, Bernard Saanane wa Kilimanjaro na Metali Mwampamba, ambao alisema waligundulika kukiuka maadili.
Kamati Kuu ilipitisha majina tisa lakini ilitupa madaraka ya kukata majina ya watu ambao mienendo yao tutaona haifai, kamati hiyo ya wazee watatu, mimi, Edwin Mtei na Bob Makani, sasa tulifanya uchunguzi na kuwahoji baadhi ya wagombea tuliohisi wanafanya kampeni chafu na tukajiridhisha ndo maana tukawaondoa, alisema.
Alisema baadhi ya wagombea walikuwa wakifanya kampeni katika hoteli mbalimbali jijini Dar es Salaam na kuunda makundi ambayo alisema yalikuwa hatari kwa umoja wa chama hicho.
Akizungumza na NIPASHE mara baada ya kuchaguliwa, Heche alisema baraza lao lina mikakati ya kupigania haki, kupinga rushwa na kulinda haki za Watanzania.
Alisema wiki ijayo litaundwa Baraza la vijana kwa kuungana na wajumbe wa baraza kuu la Chadema.
Alisema ni mara yao ya kwanza kuunda Baraza la Vijana na kwamba watahakikisha wanakuwa mfano kwa taifa kutetea haki za wanyonge.
Mwenyekiti huyo alisema atashirikiana na wananchi katika nafasi hiyo ili kutimiza malengo yenye manufaa kwa jamii nzima.
SOURCE: NIPASHE 2011
Nyakarungu ni nesi mchumia tumbo.
Katika mijitu ya kipumbavu huyo yupo
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kama anatokea musoma ni mtoto wa nyumba ntobhu kama jaji werema,
Kama anatokea musoma ni mtoto wa nyumba ntobhu kama jaji werema,
Huyu Jamaa alisha fukuzwa pamoja na kina shinza etc. naona dala dala limepata abiria wengine (zzt , mkumbo etc).Naona wamepata dereva
Kielimu ni mwanafunzi wa chuo kikuu mzumbe mwaka wa tatu..kozi yake ni HSM/bachela na pia Ni spika wa bunge.
Cha kuongezea ni classmate wangu
Kama anatokea musoma ni mtoto wa nyumba ntobhu kama jaji werema,