Wasifu wa GRAYSON NYAKARUNGU...

Wasifu wa GRAYSON NYAKARUNGU...

Namuona mzee wa ku-like ana-like tu kama kawaida! tehetehe! THE BIG SHOW


Nani HUYO WILBROAD SLAA??
Dr.W.Slaa Amevurugwa huyo,we mwache aendelee na sarakasi zake,

Umemshinda uadilifu kwa mungu wake atauwezea wapi uadilifu ndan ya chama chake na kwa watanzania??

Ukiona mtu kazi ya mungu imemshinda kisha anahubiri kuiweza kazi ya mwanadamu ujue ni mwongo na mnafiki,

Slaa mfikishie salam AYATOLLAH MTEI YA KWAMBA NCHI HII KATU KAMWE HAIWEZ KUONGOZWA KWA FALSAFA ZA UKANDA UDINI NA UKABILA,

TUNALIPENDA SANA TAIFA LETU
 
Last edited by a moderator:
nimecheka hadi basi. Yaani huyu nyakarungu na werema ni results ya nyumba ntobi? Hii kali.

Tiba

ukabila huanza hivi hivi,,haya si mambo ya kuchekesha,,ni ya kukemea. Tusigawane au kunyoosheana vidole vya ukabila. Ni hatari sana watu wanapobeza tamaduni za wenzao ndani ya nchi hiyo hiyo..hatari sana.
 
Kielimu ni mwanafunzi wa chuo kikuu mzumbe mwaka wa tatu..kozi yake ni HSM/bachela na pia Ni spika wa bunge.
Cha kuongezea ni classmate wangu

Ok mkuu,

Mpe ushauri kuwa wanaume tunatumia akili kufikiri si tumbo.
 
Acha uongo wewe.......si kweli, labda mzumbe kaenda mwaka huu. Ni nesi alikuwa Mwanza Halmashauri akawa anadanganya watu ni Daktari, lkn ni mganga njaa anayeweza kununuliwa hata kwa bei rahisi, hana kipato

Wewe jamaa kweli mwehu,nakueleza ni spika wa bunge wa chuo kikuu mzumbe tena ni classmate wangu,mwezi wa saba mwakani anamaliza degree yake ya BHSM. Sasa unachokataa nini hapo,wewe kama unachukuki nae binafsi sema, lakini kwenye ukweli sisi tunasema.
Huyu bwana hapa chuoni ni maarufu sana, alikuwa anataka kugombania uraisi mwaka 2012 lakini alifanyiwa mizengwe kwasababu ya u-cdm wake,na kama ungefanikiwa kwenye mchujo, lazima angekuwa rais wa MUSO(Mzumbe University Student Organisation).
 
Ni mdudu fulani mwenye njaa muda wote,ukiingia facebook utaona post zake nyingi ni za kumsifia Kikwete na kuiponda Chadema,afu nae anajiita mwana CDM kama ZZK!njaa tupu huyo,angalia hata bandiko lake utamuelewa ni mtu mwenye upeo gani

kwani kumsifia kikwete we unaona ni tatizo? Ulitaka CHADEMA isifiwe kwa kila jambo? Hii nchi ina vilaza wengi sana. Think "big"....
 
Ni Spika wa Bunge la wanafunzi Mzumbe......the teh teh,........eti hawa ndio mastrategist wa mkakati.........
 
Wewe jamaa kweli mwehu,nakueleza ni spika wa bunge wa chuo kikuu mzumbe tena ni classmate wangu,mwezi wa saba mwakani anamaliza degree yake ya BHSM. Sasa unachokataa nini hapo,wewe kama unachukuki nae binafsi sema, lakini kwenye ukweli sisi tunasema.
Huyu bwana hapa chuoni ni maarufu sana, alikuwa anataka kugombania uraisi mwaka 2012 lakini alifanyiwa mizengwe kwasababu ya u-cdm wake,na kama ungefanikiwa kwenye mchujo, lazima angekuwa rais wa MUSO(Mzumbe University Student Organisation).

Anasoma yale masomo ya tuition nini? kwa taarifa yako namfahamu vyema na unayekoment itakuwa ni wewe mwenyewe Nyakarungu hata andika yako ni ile ile. So kataa, hujawahi kuwa nesi? ama niweke picha zako ukiwa nesi?
 
Nyakarungu ni Mganga Njaa fulani nishawahi kumuona pale New Africa Hotel wakiwa na Mwigulu Nchemba. asubuh saa mbili ananunuliwa chai na Mwigulu na Alikuwa amevaa open Shoes zenye soli iliyo isha halafu kachomekea suluari nyeusi na Flana ya zambalau. Kwa upande wa Chadema hana Cheo ila yawezekana ni mchumia tumbo tu kwani amekuwa aggresive na Chama ili upande wa Pili apate cha kutafuna si unajua wanafunzi wengi watoto wa wakulima huwa tuna njaa sasa tukifika mjini tunaona Siasa ni chanzo cha kitoweo wakati kuna wengine wanafanya siasa kama dhana ya ukombozi ila kwa Nyakarungu ni kula kulala. Pia Nyakarungu ni Msukuma wa Mwanza Mzazi wake yupo Nyangige hana hata kumi ila Mwigulu akimtiaga hata buku 20 anajitahidi sana walau amtumie ding ake buk jero ili wapate kula. Pia Nyakarungu ni Kijana anaye soma chuo cha Mzumbe na sio Chuo kikuu so hata uwezo wake wa kutafakari mambo mdogo sana ni sawa na Habibu Mchange kijana mwizi wa Simu iliyesoma UDOM. Pia Nyakarungu ni kijana anayejipambanua kama proggressive kumbe si kweli kwani akipata Boom au posho ya Bodi ya Mikopo anashinda kwenye starehe na hoteli kubwa na akina Juliana Shonza kwani hana kazi zikiisha anarudi Moro.
Huo ni wasifu wa Nyakarungu kwa Ufupi Mkuu samahani Sijaweka Picha zake hapa jamvini.
 
Ni Spika wa Bunge la wanafunzi Mzumbe......the teh teh,........eti hawa ndio mastrategist wa mkakati.........

Ndiyo Ujue kuwa njaa mbaya huwa inaleta Strategists wengine wanatokea toilet.....
 
Anasoma yale masomo ya tuition nini? kwa taarifa yako namfahamu vyema na unayekoment itakuwa ni wewe mwenyewe Nyakarungu hata andika yako ni ile ile. So kataa, hujawahi kuwa nesi? ama niweke picha zako ukiwa nesi?

Ni yeye Mkuu nimemcheki hapa kwenye Finger Print....
 
alikuwa anajiita dokta wakati yeye ni clinical officer

huwa nashangaaa haka kajamaa ni kakilaza huwa kanajiita dokta wakati ni CO. maybe anaudokta kama was.kikwete. alafh kajamaaa ni kanafk ile mbayaaaa nashangaaa hat a hapa mzumbe.wamempaje huo usipka
 
Nimegundua watu wanachuki binafsi na Zito,hawataki ukweliii:vijana Wachadema si walisema Shibuda aliwaambia kipindi kile kesi ya Ugaidi,Waseme wametumwa na Mbowe na Slaa,ukitaka kujua ni unafiki wa kina Kileo na wenzao ndo huu,kwa akili ya kawaida kama yale maneno yana ukweli nani anakigawa CHAMA?????????
Tuache UNAFIKI
Samahani lakini,nirudi katika waraka nimeusoma huu waraka mara nyingi,sioni tatizo,zaidi ya kuwa na mambo mazuri kwa Chadema yenye afya kama yatafanyiwa kazi,bila hata Zito kuwa kiongozi,mimi kutoka Moyoni nataka Slaa na Mbowe waondoke katika Uongozi,pia Zito asiwe kiongozi wote wabaki kuwa washauri na wajumbe
Nakubali Zitto Kabwe ana Udhaifu wake lakini Mbowe na Slaa sio Malaika!
Swali kwa Wadau maana huu waraka tumejadili kihisi kumuhusu Zitto wakati yeye ajauandaa,Je ikitokea ukakamatwa waraka unamuhusisha Mbowe kutaka kusiwe na Ukomo katika nafasi ya Uenyekiti je mbowe achukuliwe Hatua gani????
 
Nimegundua watu wanachuki binafsi na Zito,hawataki ukweliii:vijana Wachadema si walisema Shibuda aliwaambia kipindi kile kesi ya Ugaidi,Waseme wametumwa na Mbowe na Slaa,ukitaka kujua ni unafiki wa kina Kileo na wenzao ndo huu,kwa akili ya kawaida kama yale maneno yana ukweli nani anakigawa CHAMA?????????
Tuache UNAFIKI
Samahani lakini,nirudi katika waraka nimeusoma huu waraka mara nyingi,sioni tatizo,zaidi ya kuwa na mambo mazuri kwa Chadema yenye afya kama yatafanyiwa kazi,bila hata Zito kuwa kiongozi,mimi kutoka Moyoni nataka Slaa na Mbowe waondoke katika Uongozi,pia Zito asiwe kiongozi wote wabaki kuwa washauri na wajumbe
Nakubali Zitto Kabwe ana Udhaifu wake lakini Mbowe na Slaa sio Malaika!
Swali kwa Wadau maana huu waraka tumejadili kihisi kumuhusu Zitto wakati yeye ajauandaa,Je ikitokea ukakamatwa waraka unamuhusisha Mbowe kutaka kusiwe na Ukomo katika nafasi ya Uenyekiti je mbowe achukuliwe Hatua gani????

Sisi Tunamjadili Nyakarungu wewe unatuletea Mambo ya Waraka mbona unakuwa Kilaza nina Wasiwasi yawezekana na wewe ni Nesi kama Nyakarungu. Tafuta Uzi wa Waraka Ukajadili huko.
CCM ni Chama kinacho endeshwa kwa Misingi ya Kutoana Kafala...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom