Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,419
- 2,270
Huu ni ulofa!umoja wa mataifa wakiipata hii CV watatushangaa watanzania tukishindwa kumuingiza ikulu kwa wingi wa kura
Huu ni ulofa!umoja wa mataifa wakiipata hii CV watatushangaa watanzania tukishindwa kumuingiza ikulu kwa wingi wa kura
huu ni ujumbe ambao umetoka kwa dr. Slaa, endapo utaupenda basi usambaze kadiri unavyoweza.
=========mmh usinaban swahiba wangu maana mcha maago hanyele huenda akawiya papo
Is one of few people I admire to hear talking about this country's problems and how we can solve them.
He is one of few leaders who was ready to join us here and get our views and tell the public through parliament.
He is a great leader
Mkuu hii lugha ya Kichina si ya kimataifa. Sema inazungumzwa na watu wengi walio wachina wenyewe na watu wa Taiwani. Lugha hii ni ngumu sana kujifunza kwa maana haina gramma ya kueleweka. Wako watu wengi wamejaribu kujifunza wakashindwa. Wachina wenyewe sasa wameweka kipaumbele kujifunza kiingereza.
mwambie KINANA alete cv ya JK uone kama invisible hataiweka visible hapa jamvini....kama umechukia vile? mbona makampuni yote ya matangazo hapa dar yametoa mabango yote kwa JK na watu tunavumilia tu though yanachefua....hasa ukipita bonde la jangwani! inauma sana PAYE yangu nina wasiwasi imekamata bango moja kubwa sasa hivi..by the way JK hajulikani hadi awe na mabango mengi vile.??wizara zinatundika picha zake kila kona lakini bado hamridhiki tuu?
+++++Imeelezwa kuwa mchumba wa Dk Slaa, Josephine Mkatunzi Mushumbusi alifunga ndoa kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam Februari 7, 2002 na Aminiel Chediel ambaye ni mfanyakazi wa Mamlaka ya Bandari (TPA).
KUMBE NI MKE WA MTU.....!
Slaa kumfananisha na Nyerere ni upeo mdogo, unaokufanya ufikiri Nyerere alikuwa kiongozi bora ni kipi ? Ni wakati wa utawala wake Ufisadi kila kona au ulikuwa unaishi nchi gani
Kwa taarifa yako Nyerere akiamua kugombea tena uraisi CCM hatopata, kwa sababu watz wanajua wametoka wapi, na kama Mchungaji Slaa unamuona ni sawa na Nyerere umeishiwa na hoja
Kumchagua Mchungaji Slaa kuongoza ni kuirudisha nyuma nchi, Slaa hana sifa ya uongozi, kashindwa kuleta democrasia, utawala bora, kashindwa kuondoa sera za kidini na ukabila ndani ya chadema.
Kwa usalama wa National security, kupewa nchi Slaa ni kuisaliti TZ kwa sababu kawaida ya wakatoliki maamuzi yao yanatolewa toka Vatican.
Slaa atapewa kura na shemeji zake na kabila lake kama anavyoendelea kuomba kura kwa msimamo huo
Kumbe wewe ni mdini wa kutupwa! Ulikuwepo kweli wakati wa utawala wa Nyerere? Unafikiri kwa nini pamoja na matatizo yale makubwa ya uchumi bado Nyerere anakumbuka na wala sio hapa bali Duniani? Alikuwa na principles ambazo hakuzipinda, alikuwa na mwelekeo na itikadi ambayo aliamini licha ya maadui wengi wa nchi za magharibi kuupinga, alifanikisha mambo mengi na kuhakikisha raslimali yetu inalindwa kwa vizazi vyetu, na ndio leo hii mimi na wewe tunataka yale madini yetu yachimbwe kwa mkataba wa kutunufaisha. Kwa maneno yake wakati ule anafuta mfumo wa kuhoji ardhi kwa njia ya kikabwela (freehold titles), alisema angeruhusu hayo, watanzania wengi wangefanywa watumwa/vitwana kwenye ardhi yake. Na tumeona ukweli huo.....angalia yanayofanywa na wanaotaka kulima jatropha kule Kisarawe!
Kwa nini napoteza muda wangu kukuelewesha najua hutapenda kujifunza maana umekwishaingiwa na dudu baya IMANI!
Ni Dr Slaa anayeweza kuwapa elimu ya bure watoto wetu pale mlimani.
Waulize mpango wao ccm kama si kuwapa wahindi wanaoleta mabehewa ambayo mababu zetu walitumia wakati wa ukoloni. Sasa wahindi wanabaki kutudanganya na bajaji wakati vyuma chakavu vya reli sasa vinatumika kujenga vyoo.
Uchumi unadidimia kwa kasi. Ahadi nyingine za uongo lukuki zinatolewa tena, wakati zile tulizoahidiwa mwaka 2005, hata moja haijatekelezwa.
Si tumeona mnazi mmoja alivyowataja mafisadi wote!
Bila Nyerere hata Kikwete asingesoma na hata leo Kikwete anaweza kukebehi mengine siyo Nyerere, japo pia tunajua anamsanifu maana siku hizi naye kalambishwa unga wa ufisadi.
Kwa taarifa yako Bull, hata nchi za Magharibi zinatumia sera zile zile za Nyerere kuufanya ubepari wao uheshimike, ndo maana kuna food stamps, kuna free housing kwa maskini, kuna elimu bure kwa maskini, medicare, medicaid, n.k. Huo wote ni ujamaa wa Nyerere wa kuwajali watu maskini.
Kama Slaa anaongozwa na Wakatoliki, basi, huyo unayemshabikia ataongozwa kutoka misikitini na mifano tunayo.
Mtanzania wa kweli atatafuta maisha bora mwenyewe, badala ya kusubiri kuletewa maisha hayo nyumbani kwakeAngalizo:
Si kweli ahadi za 2005 za CCM hazijatekelezwa, baadhi zimetekelezwa. Ila Maisha Bora kwa kila Mtanzania haijatimia.
.
Ni nani wa kumlaumu, ni Dr Slaa aliyempenda Josephine au Josephine aliyeficha ndoa yake kama ni kweli. Lakini ukianza kuangalia maisha binafsi ya mtu badala ya alichokifanyia jamii unakuwa na wewe umepotea. Kuna nani sasa hivi akawa mtanzania, a nationalist kuliko Slaa katika nchi yetu sasa? Hio haitoshi tu!
Huu ni ujumbe ambao umetoka kwa Dr. Slaa, endapo utaupenda basi usambaze kadiri unavyoweza.