Wasifu wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi

Naam.

A resume should be tailored to the specific job that you are applying for.

However, information like your tribe, religion, race, sexual orientation, etc., is irrelevant.

Why would you put your sexual orientation on your resume?
Who knows? After all, the term IRRELEVANT is somewhat slippery if not subjective.
 
Jina lako umejitambulisha kama nderingosha?. Kama hupendi ukabila futa surname/family name/jina la ukoo kwenye kitambulisho chako cha NIDA. Halafu hakuna mbunge anayeandika CV yake bila kuweka ukada wa chamba chake tusichangie bila kufikiria.
Ukada wa Chama unahusiana vipi na ufanisi na utendaji wa mbunge? Kama wewe huoni hili Lina shida basi shida unayo wewe pia....
 
wewe Ngabu usiwe mbishi, CVs nyingi kama sio zote zamani zilikuwa zikiandikwa hivyo, hata yangu labda niifanyie update sasa hivi, but ilikuwa inaonesha hayo mambo ya kikabila na maritus ststus, inawezekana wewe ni wa kisasa sana
Kabila hapana, ila uraia wako sawa. Na wenzetu siku hizi walioendelea kwenye form za ajira kabla ya usaili watakutana ujanze ethnicity yako mfano black, Asia,n.k ilikuondoa ubaguzi kwenye ajiri hasa kwa minorities.
 
Kabila hapana, ila uraia wako sawa. Na wenzetu siku hizi walioendelea kwenye form za ajira kabla ya usaili watakutana ujanze ethnicity yako mfano black, Asia,n.k ilikuondoa ubaguzi kwenye ajiri hasa kwa minorities.
Hiyo ya ethnicity ni optional. Hulazimishwi.

Ukipenda unajaza. Usipopenda, unaacha.
 
Back
Top Bottom