Wasifu wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,231
113,591
416BE48D-30A4-494C-BD91-2BE6B897FBD5.jpeg

Other name? Siyo ‘Middle name’?

Sex?

Marital Status?

Tribe?

Sina hakika kama yeye mwenye hii resume/ CV ndo aliyeiandika.

Mwandishi awe yeye au si yeye, ni nani aliyewafundisha watu jinsi ya kuandika resumé .
Taarifa za hali yako ya ndoa na kabila lako zinahusu nini hadi uziweke kwenye resume?

Labda ni huu ushamba wangu tu! Ila nakumbuka vizuri sana kwenye capstone course nilipofundishwa jinsi ya kuandika resumé, hizo taarifa hupaswi kuziweka kabisa hapo!
 
View attachment 1878290
Other name? Siyo ‘Middle name’?

Sex?

Marital Status?

Tribe?

Sina hakika kama yeye mwenye hii resume/ CV ndo aliyeiandika.

Mwandishi awe yeye au si yeye, ni nani aliyewafundisha watu jinsi ya kuandika resumé .
Taarifa za hali yako ya ndoa na kabila lako zinahusu nini hadi uziweke kwenye resume?

Labda ni huu ushamba wangu tu! Ila nakumbuka vizuri sana kwenye capstone course nilipofundishwa jinsi ya kuandika resumé, hizo taarifa hupaswi kuziweka kabisa hapo!
Wewe nini kinakuuma? ni yako? kaandike yako unavyotaka.
 
Zipo aina fulani za kazi zinataka watu single na utaoa baada ya kufanya kazi. Lakini baadhi ya waajiri hupendelea mtu aliyeoa maana anaweza kuwa more responsible and matured...lakini hizi zote ni dhana tu na hakuna ubaya kuweka marital status au kuiacha.
Kazi gani hizo ambazo hutaka watu walio single?

Kuwa single au married hakuhusiani chochote na utendaji kazi wa mtu!
 
Elias John Kwandikwa (1 July 1966 – 2 August 2021) was a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for the Ushetu constituency since 2015.[1] He was a Deputy Minister of Works, Transport and Communications, until 9 October 2017.[2] He then served as a Minister of Defence and National Service from December 2020 until his death in August of 2021

EDUCATION BACKGROUND
He was born on 1 July 1966, in the Shinyanga Region of Tanzania. He attended Kisuke Primary School, from 1977 until 1983. He then transferred to Mwenge Secondary School for his middle school studies from 1984 until 1987. For his high school education, he studied at Shinyanga Secondary School, from 1988 until 1990.[1]

He studied at The Institute of Finance Management from 1997 until 1999, graduating with an Advanced Diploma in Accountancy. In 2004, the National Board of Accountants and Auditors (NBAA), awarded him a certificate as a Certified Public Accountant (CPA). He then obtained a Master of Business Administration, from the Eastern and Southern African Management Institute (EASAMI), in 2015

Work experience​

His entire professional career has been spent in the Office of the Controller and Auditor General. He began as a Clerk Examiner Grade II, back in 1990, serving in that capacity until 1995. He was promoted to Clerk Examiner Grade I in 1995, serving in that capacity until 1997. From 1997 until 1999, he served as an Accounts Examiner Grade III.[1]

From 1999 until 2000, he was the Assistant Resident Auditor for the Pwani Region. He took some time off to study for his CPA examinations. When he returned in 2005, he was appointed the Assistant Resident Auditor for the Tanzania Revenue Authority, serving in that capacity for less than one year. Later in 2005, he was appointed Chief Accountant in the Office of the Controller and Auditor General, serving there until 2015.[1]


Political career​

Elias Kwandikwa was an active member of the ruling Chama Cha Mapinduzi, starting back in 1991, when he served as a member of the party's central committee. He has held several positions in the Youth Wing of the party, at local, regional and national levels over the years. In 2015, he contested the parliamentary seat for Ushetu constituency on the CCM political party ticket. He won and was the incumbent.[1] On 9 October 2017, he was sworn in by president John Magufuli, as the Deputy Minister of Works, Transport and Communication.[2] In 2020, in Magufuli's second cabinet, Kwandikwa was given the keys to the Ministry of Defense and National Service after Hussein Mwinyi was elected President of Zanzibar. He served in this position until his death.[citation needed]


Death​

Elias Kwandikwa died at Muhimbili National Hospital in Dar es Salaam on 2 August 2021 at the age of 55
 
Back
Top Bottom