Wasifu mdogo(CV) wa Alphayo Kidata

Wasifu mdogo(CV) wa Alphayo Kidata

Kamishina mkuu wa mamlaka ya ukusanyaji kodi haelewi mzigo wa kodi ya ongezeko la thamani inabebwa na nani mwanafunzi kudato cha NNE anayesoma commerce anajua jibu sahihi.Ni
Tanzania pekee maajabu haya utayaona .Dr Mwakyembe anashangaa ambao hawajamaliza shule kutilia mashaka ufafanuzi wa daktari wa falisafa ,sasa Mimi mtoto wangu japokuwa bado hajamaliza shule anashangaa ufafanuzi wa kamishina HUZUNI kubwa
 
Kama mfano muwamala mmoja means kutoa pesa kwenye ATM unatozwa 1,000 zamani zote zilienda bank kwa sasa 152.5 itaenda TRA Kama VAT na iliyobaki 847.5 itaenda mfuko wa benki husika na inapatikanaje?

1,000 = 118 per cent
? = 18 per cent ya VAT.

Kwa hiyo 1,000 x 18 / 118 = 152.5

1,000 - 152.5 = 847.5
jistiri kwa kutokuchangia usicho na elimu nacho kama hujui nyamaze tu ndugu yangu unajishusha hadhi ya utu wako
 
CCM ooyeeee,,
wabunge wa ccm walikuwa wanatetea posho zao tu,,
teh teh teh
 
Siamini kwamba Kidata alikua hajui kuhusu VAT. Anajua! Haihitaji uelewa mkubwa kodi kujua!
Tatizo ni kutaka kumfurahisha bwana mkubwa!
Ni kama serikali ilitaka mabenki na taasisi za kifedha zitangaze ongezeko bila kusema umesababishwa na kodi ya VAT! Labda walitaka itamkwe 'kutokana na kupanda gharama za uendeshaji..........'

Angalia hata phd za Mwakyembe na Tulia zilivyoshindwa kuwapa uelewa wa maneno magumu kama 'separation of power'
 
Hujuma kama ya sukari hiyooo!! Nahisi kuwepo hatari ya kufanya miamala isiyo kuwa na majibu ya salio;
 
Mkuu

Mwache afanye kazi... nobody is perfect

Ni kweli mtu yeyote hawezi kujua kila kitu hata inayohusu taaluma yake. Ndiyo maana tuna consultants. Hata hizi kodi hazijaanzia TRA kwani kuna private tax consultants wana ushauri wao humo.
 
Siamini kwamba Kidata alikua hajui kuhusu VAT. Anajua! Haihitaji uelewa mkubwa kodi kujua!
Tatizo ni kutaka kumfurahisha bwana mkubwa!
Ni kama serikali ilitaka mabenki na taasisi za kifedha zitangaze ongezeko bila kusema umesababishwa na kodi ya VAT! Labda walitaka itamkwe 'kutokana na kupanda gharama za uendeshaji..........'

Angalia hata phd za Mwakyembe na Tulia zilivyoshindwa kuwapa uelewa wa maneno magumu kama 'separation of power'
mkuu ccm wanafanya kazi kwa matakwa ya walio wateua na sio weledi
 
Ni kweli mtu yeyote hawezi kujua kila kitu hata inayohusu taaluma yake. Ndiyo maana tuna consultants. Hata hizi kodi hazijaanzia TRA kwani kuna private tax consultants wana ushauri wao humo.
and what is your point exactly?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom