Wasifu mdogo(CV) wa Alphayo Kidata

Wasifu mdogo(CV) wa Alphayo Kidata

Ndugu Kidata ni mzaliwa wa wilaya ya Bunda, mkoani Mara, A-Level kasoma HGE Songea Boys High School pamoja na Mheshimiwa Kangi Lugola, akaajiriwa Idara ya Mahakama mkoani Tabora, baadaye akajiunga na UDSM kuchukua BA ya Economics, mwalimu wake akiwa ni Prof. Lipumba, Prof. Benno Ndulu pamoja na Dr. P. Mpango. Baada ya Kumaliza UDSM alijiunga na wizara ya Ardhi idara ya Uchumi na Mipango ambako alijiendeleza kimasomo ya uchumi huko Japan akahitimu Masters Degree, hatimaye akarudi nchini na kushika nyadhifa mbalimbali serikali hatimaye hivi sasa ni Kamishna Mkuu wa TRA. Hivyo anazo sifa za msingi kushika wadhifa alionao pia ni muadilifu sana!!!
 
Ndugu Kidata ni mzaliwa wa wilaya ya Bunda, mkoani Mara, A-Level kasoma HGE Songea Boys High School pamoja na Mheshimiwa Kangi Lugola, akaajiriwa Idara ya Mahakama mkoani Tabora, baadaye akajiunga na UDSM kuchukua BA ya Economics, mwalimu wake akiwa ni Prof. Lipumba, Prof. Benno Ndulu pamoja na Dr. P. Mpango. Baada ya Kumaliza UDSM alijiunga na wizara ya Ardhi idara ya Uchumi na Mipango ambako alijiendeleza kimasomo ya uchumi huko Japan akahitimu Masters Degree, hatimaye akarudi nchini na kushika nyadhifa mbalimbali serikali hatimaye hivi sasa ni Kamishna Mkuu wa TRA. Hivyo anazo sifa za msingi kushika wadhifa alionao pia ni muadilifu sana!!!
Hiyo CV ni ndogo sana
 
Lotima Z

.Huwezi kukamata wanunuzi 1,000,000. wasiodia risiti. Unakamata wachache wa mfano wengine watajifunza kupitia hao umuhimu wa kudai risiti. Kwenye statistics kuna kitu kinaitwa random sampling. Muda mwingine vingereza vingi jamanii visitutishe tukafikiri ndio kuelewa mambo.

Hivi ni ulize bidhaa za kibenki ni zipi?

Unapokatwa kodi kwenye mshahara wako kwa mfano, je ukienda kununua kitu dukani kwa huo mshahara wako hulipii kodi ya VAT? Je hii nayo tuite double taxation?
 
and what is your point exactly?

I agree with u that the commissioner general Mr Kadata should be allowed to do what he knows best although he may not know everything about taxation. If there is an error in the law, it can always be amended and his CV has nothing to do with the error.
 
I agree with u that the commissioner general Mr Kadata should be allowed to do what he knows best although he may not know everything about taxation. If there is an error in the law, it can always be amended and his CV has nothing to do with the error.
Thanks mkuu
 
CV for what? lets build the nation together
Ni vizuri kuwajua vizuri watu tunaowapa nafasi za juu. Wahenga walisema wasiwasi ndio akili. Si unakumbuka kuna jamaa alipewa unaibu waziri wa elimu kumbe ni mweupe kabisa kichwani akaenda kwenye mkutano wa kimataifa akasema Tanzania ni muungano wa visiwa vya Zimbabwe na Tanganyika mwaka 11964. Historia rahisi ambayo siyo lazima wende shule kuijua. Lakini hata aliyekuwa anashikilia top job ni the country pamoja na kuwa ni mchumi kama alivyokuwa akijisifia, alipoulizwa huko ughaibuni alikokuwa anakwenda kuhemea vibaba, kwanini nchi yako ni masikini pamoja na utitiri wa rasmali za asili mlizojaliwa akajibu kuwa na yeye haelewi kitu anashangaa pia
 
Ni mjomba wako? Mbona unamtetea sana?
shika adabu yako we selule... Kidata ni mtu wa Mara mimi ni mtu wa Manyara... wapi an wapi. Just FYI, mimi ni mhanga wa philosophies zake na nimeumia kweli, lakini sidhani kama a request for his CV would sort out anything

Issue sio utetezi bali kuweka facts right!!

NImekujibu kwasababu nimetaka kukujibu... otherwise, you are just one of a few selules around
 
shika adabu yako we selule... Kidata ni mtu wa Mara mimi ni mtu wa Manyara... wapi an wapi. Just FYI, mimi ni mhanga wa philosophies zake na nimeumia kweli, lakini sidhani kama a request for his CV would sort out anything

Issue sio utetezi bali kuweka facts right!!

NImekujibu kwasababu nimetaka kukujibu... otherwise, you are just one of a few selules around
Kitilya ni mtaalam wa kodi aliyebobea, LAKINI UADILIFU WAKE NA UZALENDO KWA TAIFA???? MWACHENI KIDATA MWENYE SIFA ZA MSINGI ACHAPE KAZI
 
Kitilya ni mtaalam wa kodi aliyebobea, LAKINI UADILIFU WAKE NA UZALENDO KWA TAIFA???? MWACHENI KIDATA MWENYE SIFA ZA MSINGI ACHAPE KAZI
ni kweli... kitilya ni jembe... na bado naamini kitilya sio guilty, lakini kidata aachwe afanye kazi
 
Wakuu wa hili jukwaa heshima kwenu

Naombeni mnijuze huyu Balozi mteule aliyeteuliwa leo, Alphayo Kidata ni nani?
Maana ndani ya muda mfupi wa miaka miwili ya uongozi wa Rais Magufuli ameshika nyadhifa nyeti sana. Alianza kuteuliwa kama Kamishina Mkuu wa TRA ambapo hakudumu sana akapelekwa kuwa Katibu Mkuu Ikulu ambapo ndani ya miezi kadhaa sasa ameteuliwa kuwa Balozi.
Je huyu Alphayo Kidata ni nani haswa?

Tujikumbushe:
UTEUZI: Rais Magufuli amteua Bw. Alphayo Kidata kuwa Katibu Mkuu, Ikulu
 
Natamani kufahamu pia, popcorn plz
 
Mnapenda uchochezi basi kuna watakaoukuja kuhoji KABILA lake
 
Mgekuwa mnaomba job descriptions za kazi wanazopewa sio cv zao. Kwa job descriptions zao tungeweza kupima wali deliver au la?! Na tungeomba na descriptions za mabalozi ili tuone je hawa wanaoteuliwa wanaweza au ni kupeana vyeo na ulaji tu usio kuwa natija. Mapolisi wastaafu nao sikuhizi wanakuwa mabalozi. Huu ubalozi hata hatujui nani anaufanya vizuri nani hawezi, yani hatujui capacity ya nani anastahili na nani hastahili.
 
Ndugu Kidata ni mzaliwa wa wilaya ya Bunda, mkoani Mara, A-Level kasoma HGE Songea Boys High School pamoja na Mheshimiwa Kangi Lugola, akaajiriwa Idara ya Mahakama mkoani Tabora, baadaye akajiunga na UDSM kuchukua BA ya Economics, mwalimu wake akiwa ni Prof. Lipumba, Prof. Benno Ndulu pamoja na Dr. P. Mpango. Baada ya Kumaliza UDSM alijiunga na wizara ya Ardhi idara ya Uchumi na Mipango ambako alijiendeleza kimasomo ya uchumi huko Japan akahitimu Masters Degree, hatimaye akarudi nchini na kushika nyadhifa mbalimbali serikali hatimaye hivi sasa ni Kamishna Mkuu wa TRA. Hivyo anazo sifa za msingi kushika wadhifa alionao pia ni muadilifu sana!!!
Mmmhhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom