nimegoogle cjapata.Jaribu ku Google
Kuna comment moja amesema kuwa alikuwa hajua kwamba multinational companies zinaweza kutumia mwanya wa kufanya kazi kwenye nchi zaidi ya moja ili kukwepa kodi. Je mkuu wa TRA anaweza asijue tatizo ambalo linakabili mamlaka za kodi dunia nzima....!?kama umegoogle hujapata basi mwache mkuu afanye kazi... au kama unaweza kuanza kushare yako tutashukuru sana mleta hoja
MkuuKuna comment moja amesema kuwa alikuwa hajua kwamba multinational companies zinaweza kutumia mwanya wa kufanya kazi kwenye nchi zaidi ya moja ili kukwepa kodi. Je mkuu wa TRA anaweza asijue tatizo ambalo linakabili mamlaka za kodi dunia nzima....!?
Cjasema hafai wala asifanye kazi ndugu,Mkuu
Mwache afanye kazi... nobody is perfect
haya mkuuCjasema hafai wala asifanye kazi ndugu,
Kwa mwenye CV ya commissioner General wa TRA Bw. Alphayo Kidata tafadhali..
nataka yake , tunahitaji mtu aliyebobea katika hii sekta ukizingatia serikali inahitaji kodi nyingi than everhaya mkuu
vipi uta-share CV yako kwanza au bado unataka yake tu?
kwa matumizi yangu,CV for what? lets build the nation together
Huwezi kutumia CV ya mtu mwingine kwa matumizi yakokwa matumizi yangu,
You loads of bull krappppnataka yake , tunahitaji mtu aliyebobea katika hii sekta ukizingatia serikali inahitaji kodi nyingi than ever
mbona unakasika ndugu , napata mshaka....You loads of bull krapppp
pata tu, as long as ni shaka kwa matumizi yako sio mbayambona unakasika ndugu , napata mshaka....
Yah. Kama ukiquestion uelewa wangu , utakuwa na yako. Subiri wenye nayo waje kama huna la msingi la kuchangia.Huwezi kutumia CV ya mtu mwingine kwa matumizi yako
Dont let people question uelewa wako bro