Wasifu mdogo(CV) wa Alphayo Kidata

kama umegoogle hujapata basi mwache mkuu afanye kazi... au kama unaweza kuanza kushare yako tutashukuru sana mleta hoja
Kuna comment moja amesema kuwa alikuwa hajua kwamba multinational companies zinaweza kutumia mwanya wa kufanya kazi kwenye nchi zaidi ya moja ili kukwepa kodi. Je mkuu wa TRA anaweza asijue tatizo ambalo linakabili mamlaka za kodi dunia nzima....!?
 
Niko bize, kipata muda nitaiweka hapa, jioni au kesho. Ingawa hakuna mtu perfect duniani, lakini yeye up-stairs yuko vizuri, labda watendaji wake wamwangushe.
 
Huwezi kutumia CV ya mtu mwingine kwa matumizi yako

Dont let people question uelewa wako bro
Yah. Kama ukiquestion uelewa wangu , utakuwa na yako. Subiri wenye nayo waje kama huna la msingi la kuchangia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom