dlamini
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 368
- 120
Nenda TRA Kitengo cha Habari Kwa Umma watakupa....Kwa mwenye CV ya commissioner General wa TRA Bw. Alphayo Kidata tafadhali..
Nenda TRA Kitengo cha Habari Kwa Umma watakupa....Kwa mwenye CV ya commissioner General wa TRA Bw. Alphayo Kidata tafadhali..
Ukisikia nyiii,jua limempataweka kwanza ya mwenyekiti wetu mbowe
Nilichukia nilipo ambiwa waafrika wengi wana IQ below avarageUkiona mtu kapewa cheo cha kuwa CEO wa Mamlaka kubwa kama TRA na CV yake haiwekwi wazi ujue tu ni Mtu wa Kwetu Homeboy. I can't understand it appears elimu ya Alphayo na uelewa wa Kodi ni Tatizo. Nashauri aende kuchukua kozi ya wiki mbili pale Mikocheni Tax Institute ndio awe confirmed . He was confirmed kabla ya kujua ABC ya kodi!Sheria haiwezi ku apply retrospectively.It's quite academic as long as its value added tax (VAT) it should be paid by consumers! Banks and Mobile phone companies and all traders are just TRA agents and they aught to be paid some sort of a commission to collect on behalf. Sasa huu uendawazimu wa kukamata watu wasiodai risiti it's another comedy. Hao Wabunge waliopitisha hiyo sheria inabidi tupime akili zao simply because the administration of that is very costly. Just imagine umwage watu madukani at every exit ambao watakuwa wanauliza risiti ili Yule ambaye atakuwa hana ashitakiwe. Katika wanunuzi millions it's a very complicated exercise nafikiri kodi itakayo kusanywa itabidi walipwe hao receipt inspectors and this is not only absurd but almost crazy. Tax should be simple and single digit rate Which encourages compliance. Vinginevyo let us wait and see! Narudia Banks hawezi kulipa VAT bila input. Transaction costs were no taxable per the provisions. Sasa kuwaambia wapunguze cost ya transaction walipe VAT it doesn't make sense! The Governor is absolutely right. Hao comedians wa Bunge and CEO wa TRA might polarize the sick taxation regime further!
mbona CV ya mbowe hamuiweki wazi?Ukiona mtu kapewa cheo cha kuwa CEO wa Mamlaka kubwa kama TRA na CV yake haiwekwi wazi ujue tu ni Mtu wa Kwetu Homeboy. I can't understand it appears elimu ya Alphayo na uelewa wa Kodi ni Tatizo. Nashauri aende kuchukua kozi ya wiki mbili pale Mikocheni Tax Institute ndio awe confirmed . He was confirmed kabla ya kujua ABC ya kodi!Sheria haiwezi ku apply retrospectively.It's quite academic as long as its value added tax (VAT) it should be paid by consumers! Banks and Mobile phone companies and all traders are just TRA agents and they aught to be paid some sort of a commission to collect on behalf. Sasa huu uendawazimu wa kukamata watu wasiodai risiti it's another comedy. Hao Wabunge waliopitisha hiyo sheria inabidi tupime akili zao simply because the administration of that is very costly. Just imagine umwage watu madukani at every exit ambao watakuwa wanauliza risiti ili Yule ambaye atakuwa hana ashitakiwe. Katika wanunuzi millions it's a very complicated exercise nafikiri kodi itakayo kusanywa itabidi walipwe hao receipt inspectors and this is not only absurd but almost crazy. Tax should be simple and single digit rate Which encourages compliance. Vinginevyo let us wait and see! Narudia Banks hawezi kulipa VAT bila input. Transaction costs were no taxable per the provisions. Sasa kuwaambia wapunguze cost ya transaction walipe VAT it doesn't make sense! The Governor is absolutely right. Hao comedians wa Bunge and CEO wa TRA might polarize the sick taxation regime further!
Naam, hii inaonesha wazi kuwa Mhusika mkuu wa TRA hajui mtiririko wa kodi na ni nani anayeubeba mzigo wa kodi kwa kutumia VAT.
Pole sana, ila hili suala halipo kisiasa, na wala haliingiliani na masuala ya kikada. Ni jambo ambalo inabidi ulielewe na kujua mantiki ya watoa hoja hawako kichama au kisiasa. Kama ulibahatika kumsikiliza na Bwana Alphayo Kidatta utaelewa ni nini watu wanachoongelea. Kwa ujumla Kamishna wa Kodi amejiingiza chaka na yaonekana ana mapungufu katika uelewa wa tofauti ya VAT na kodi nyinginezo.mbona CV ya mbowe hamuiweki wazi?
kwan kuomba CV ya mbowe ni dhambi??Pole sana, ila hili suala halipo kisiasa, na wala haliingiliani na masuala ya kikada. Ni jambo ambalo inabidi ulielewe na kujua mantiki ya watoa hoja hawako kichama au kisiasa. Kama ulibahatika kumsikiliza na Bwana Alphayo Kidatta utaelewa ni nini watu wanachoongelea. Kwa ujumla Kamishna wa Kodi amejiingiza chaka na yaonekana ana mapungufu katika uelewa wa tofauti ya VAT na kodi nyinginezo.
Ungeanzisha uzi unaotaka CV ya huyo Bwana Mbowe, lakini hapa utakuwa unawatoa watu kwenye mjadala. Hapa watu wanahitaji kujua uhalisia wa Bwana Kidatta katika masuala ya Kodi kwa kuangalia weledi, uzoefu na uelewa wake.kwan kuomba CV ya mbowe ni dhambi??
kama ipo si muiweke tu!! Uzi mwingine wa nn??Ungeanzisha uzi unaotaka CV ya huyo Bwana Mbowe, lakini hapa utakuwa unawatoa watu kwenye mjadala. Hapa watu wanahitaji kujua uhalisia wa Bwana Kidatta katika masuala ya Kodi kwa kuangalia weledi, uzoefu na uelewa wake.
kuomba CV ya mbowe ni dhambi?Countrywide !
Shirikisha mwili wako na Ubongo nafikiri unatumia Masaburi kufikiria badala ya Ubongo. You some sort of a spinoff! The subject matter is entirely on uelewa wa masuala ya kodi ya Kamishina Mkuu wa TRA in the name of Alphayo Kadata. Ili kumtendea haki hapa jamii watu wanomba CV yake na ikibidi aweke hapa mwenyewe! We are disturbed how can he have such limited knowledge on VAT and still claim to be the Collector General! This is very serious ni lazima aweze to communicate with the Key stakeholders using the proper language huwezi kuuita Media ukaongea the. Way he did yesterday. He must get back to school hivi kwa nini asiwaita hao bankers akishirikiana na Governor wakaelewana as partners? Swali ni kwamba Hiyo sheria alikombiizana na Mpango kuipitisha akiwa na Wabunge wanasema ndiyo to everything bila kuwa na draft ya regulations knowning that the law becomes effective hata bila Rais ku ascent ! This is really wonder land. Inaonyesha how weak is the system . This implicitly means that mchakato was half cooked na stakeholders were not consulted kwa hiyo compliance becomes a challenge from day one. Viva "hapa kazi tu " kipofu leading kipofu what do you expect!