Halafu ikusaidie nini. Weka yako kwanza kabla ya kutaka ya wengineWadau tunaomba tujadili kwa kina CV na elimu ya Kamishna wetu wa T.R.A Bwana Kidato.
N.B Hii mada hai husiani na tamko lake la jana kuhusu taasisi za fedha kulipa V.A.T kwenye charges mbalimbali wanazo toza wateja.
Karibuni
Mkuu nadhani umeongea badala ya kuzungumza. Tupe mfano wa wafanyabishara wanaolipa VAT. Wote wanaotoza VAT na wakala wa serikali katika kukusanya mapoto ya kodi ya ongezeko la thamani na sio wao wanaolipa. VAT inalipwa na mtumiaji wa mwisho wa huduma/bidhaa. Kwahiyo kusema benki zimekosea ni kupotosha ukweli na kusema ati zifungiwe na kuota ndoto ndani ya ndoto(yani umeto kuwa umeota kuwa benki zifungiwe). Kosa ni la serikali hapo kuweka hiyo kodi na hakuna namna mwananchi lazima aumie tuHiizi zama za magufuli,unamkata mteja muamala hautozwi kodi hela unapeleka wapi?kumjazia vat mteja sio sahihi ile ni pesa yake,wewe unaemkata ndio ulipie kodi,magufuli fungia benki za kinyonyaji
Hiizi zama za magufuli,unamkata mteja muamala hautozwi kodi hela unapeleka wapi?kumjazia vat mteja sio sahihi ile ni pesa yake,wewe unaemkata ndio ulipie kodi,magufuli fungia benki za kinyonyaji
Mkuu kunawakati ubinadamu ni muhimu kuliko uanachama. Hivi kweli hili wewe hulioni au ni makusudi tu. Hivi wewe hizo gharama ukipata huduma za kibenki hutotozwa? Ndugu zako hawatatozwa? Kama ishu ni watu kulipa kodi wangesema tu toka mwanzo kuwa kodi imewekwa kwa wateja kwanini wadanganye kuwa ni mabenki ili hali wanajua kuwa kisheria benki haziwajibiki kwenye hili? Tuweke siasa kando na tuvae uraia tu.Naona wakwepa kodi mnataka kuleta figisu
Tatizo macho na hisia zote ni kukosoa serikali ukaacha ukweli. Miamala yote inamakato ambayo yalikuwa hayakatwi sa hv yakatwe then wanamhamishia makato yote mteja badala ya ku-absorb hata 10%. Wenyewe wabaki wanatesa kama kawa si sahihi hata kidogo. Wakati mwingine tuwaze kwa UPANA zaidi siyo gharama.Mkuu nadhani umeongea badala ya kuzungumza. Tupe mfano wa wafanyabishara wanaolipa VAT. Wote wanaotoza VAT na wakala wa serikali katika kukusanya mapoto ya kodi ya ongezeko la thamani na sio wao wanaolipa. VAT inalipwa na mtumiaji wa mwisho wa huduma/bidhaa. Kwahiyo kusema benki zimekosea ni kupotosha ukweli na kusema ati zifungiwe na kuota ndoto ndani ya ndoto(yani umeto kuwa umeota kuwa benki zifungiwe). Kosa ni la serikali hapo kuweka hiyo kodi na hakuna namna mwananchi lazima aumie tu
Hahah et haihusiani na tamko lolWadau tunaomba tujadili kwa kina CV na elimu ya Kamishna wetu wa T.R.A Bwana Alphayo Kidato.
N.B: Hii mada hai husiani na tamko lake la jana kuhusu taasisi za fedha kulipa V.A.T kwenye charges mbalimbali wanazo toza wateja.
Karibuni
Hakuna haja. Atakuwa ni Mhasibu. Maswi aliingia haraka haraka Wahasibu eakamtema. Unaitakia nini CV yake.Kwa mwenye CV ya commissioner General wa TRA Bw. Alphayo Kidata tafadhali..
Tatizo macho na hisia zote ni kukosoa serikali ukaacha ukweli. Miamala yote inamakato ambayo yalikuwa hayakatwi sa hv yakatwe then wanamhamishia makato yote mteja badala ya ku-absorb hata 10%. Wenyewe wabaki wanatesa kama kawa si sahihi hata kidogo. Wakati mwingine tuwaze kwa UPANA zaidi siyo gharama.
nataka yake , tunahitaji mtu aliyebobea katika hii sekta ukizingatia serikali inahitaji kodi nyingi than ever