Wasifu(CV) ya Jenerali Ulimwengu

Uzi ulitulia huu enzi hizo memba wengi hawana mihemko mikubwa naupambe. Leo umefukuliwa ukisoma kila thread unakuta mwandishi kaongea ukweli wa akijuacho.
 
J
Huyo ni Ghadafi mkuu?
Ndio
 
Tunajidhalilisha sana kufikiria watu wote wenye akili kubwa za kuhoji mambo hawawezi kuwa Watanzania.
 
 
Ilikuaje mtu asiye raia wa Tanzania akashika nafasi nyeti za uongozi katika nchi, bunge, serikali na chama, ndani na nje ya nchi kwa muda mrefu hivyo???
 
Hii sasa ni kachumbari umeanza kusema ni mnyrwanda alafu alikua mbunge wa kuteuliwa, mkuu wa wilaya ilala etc..
Sasa mnyarwanda gan anakua dc, mbunge, mwakilishi wa TANU?
Hii inaonyesha wazi kuwa hatutafakar kablya ya kuandika jambo..!!
Mnyrwanda ni mtu gan? Labda tuanzie hapo
 
Kwa kukusaidia ipo hivi..
Mnyarwanda ni raia wa nchi iitwayo Rwanda, so automatically Jenerali Ulimwengu sio mnyrwanda kwa sababu sio raia wa Rwanda!!sema wew umechanganya kuwa inawezekana akawa na asili ya ututsi, lkn ututsi haimaanishi ni unyarwanda,ututsi ni kabila na urwanda ni utaifa vitu viwili tofauti.. Uganda kuna kabila la wanyankole ni asili moja na tutsi,
Na asili ya hizo kabila mbili sio rwansa wala uganda ni huko juu habesh huko Ethiopia, Somalia, sudani hukooo.. Sawa na wamasai, na almost kabila nying za Arusha,Manyara, na mikoa jirani...
Wabantu pia ni migratory society, na wao asili zao wanajua!!
Unaijua asili ya Baba wa Taifa? Ukiijua ndo povu litakukauka mdomoni
 
Fuatilia historia, haya maneno hayatoki kinywani mwangu yalitoka serikalini na akapokwa uraia na kuambiwa ni Mnyarwanda. Hakuwa peke yake alikuwepo pia Balozi Bandora tena yeye alipokwa uraia akiw balozi kule Lagos ama baada tu kidogo ya kuwa amerejeshwa.
Kwani mtu kuwa DC ama Mbunge kunazuia kupokwa uraia?
 
Upo sahihi mkuu kuhusu mtu kuzaliwa Tanzania kabla ya uhuru kuwa Mtanzania ila hii ilikuwa kwa wale wote waliokuwa jinsi ya mkoloni mwingereza na ndio sababu huwezi kuta mtu mwenye wazazi wenye asili ya Kenya, Uganda, Malawi na Zambia wanapingwa zengwe ila waliozaliwa kabla ya uhuru ila wana vinasaba na Burundi, Rwanda na Kongo ambazo kihistoria hazikuwa chini ya Uingereza walitakiwa kufuata taratibu flani flani kukamilisha mambo yao na bahati mbaya wanasiasa wetu huwa wanatumia vipengele hivyo kuwatoa watu relini lakini ukweli ni kwamba walitakiwa kuwaambia tu kuna vitu havipo sawa embu weka sawa vielelezo vyako
 
System inaruhusu je mtu asiyekua mtanzania kuwa kiongozi wa serikali na sector muhimu kabisa za serikali? Dc ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya husika, inakua mgeni anahusika kwenye usalama wa nchi yetu haliyakua wapo Watanzania wengi lkn hawapewi nafasi hiyo wanapewa wageni?
 
Hata wew leo hii ukiwa kinyume na watawala, utaambiwa sio mtanzania!!
System ipo hivo kila mpinga system sio mtanzania
 
Mwenye nada anauliza CV hajauliza swala la uraia wake. Some I kwa weledi muelewe siyo kujibu kinyume. Seals la uraia hata wewe hatuna uhakika na uraia wako.
 
Baada ya rai wakaanzisha mtanzania na mfadhili wao mkuu aliyetoa kila kitu ni rostam aziz kwahiyo huyo jenerali msimuamini sana njaa ikizidi ndio anajitia kupinga

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Baada ya Kampuni ya Habari Corporation kuanza kuyumba wakaiuza kwa Rostamu na Bashe akawa Mtendaji Mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…